The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
Bwa ha ha ha ha. Too bad wewe ulileta usanii. Btw, how many usernames do you have now?
dah
so many relationships,but so little love ......
Bwa ha ha ha ha. Too bad wewe ulileta usanii. Btw, how many usernames do you have now?
mito soma viruzi tu utaelewa...no hurry just read slowlyAisee labtec1 hii story yako (kama ni ya kweli) imenifanya nianze kuiogopa JF, it's so scaring and likely to make me so conscious with everybody!
Ila kinachonishangaza ni kwamba imekuwaje haya yote yakutokee wakati una takribani mwezi mmoja tu tangu ujiunge na JF? inamaana uliingia tu na kuanza kuchat naye kwa PM? au ulitangaza humu kuwa unahitaji boy friend/mpenzi ndo aka-take advantage? hebu tujuze nasi tuchukue tahadhali maana .......!
none mana the other one i will never use it again au may be afta a long time
Okay, well, this is your side of the story and as most of us know there is always more than just one side of the story. So I'm eager to hear his side also.
dah
so many relationships,but so little love ......
kwaiyo ushauri wako ni upi
Ukimwita, wakati anakuja mi nawahi kwa mkewe kuhakiki idadi na rangi za shanga.
thank you i will give the feedback laterTake a hard look at yourself. Perform a reality check. Swallow your pride and admit some of the mistakes that you did along the way. Reach out to him. Apologize if you see it necessary. After that the ball will be in his court.
Take a hard look at yourself. Perform a reality check. Swallow your pride and admit some of the mistakes that you did along the way. Reach out to him. Apologize if you see it necessary. After that the ball will be in his court.
afu umempeleka wapi yule?
Au yuko shule???
Hahahahahaaaaa......teh teh teh....bwa! ha! ha! ha!
:eek2:
kumbe unajua kushauri eeehobsession and desperation are not love...
you don't love him
you just don't like yourself that much
so your problem is how you see yourself and how much you love yourself...
love and happiness comes from within not from outside
wanaume wa jf,wanapenda sana kutongoza.
usipokuwa makini,utajikuta unajisahau na unaingia kimapenzi,wao kwao ni fiction tu.
pole sana,kuna mmoja humu alishawahi kulalamika.iwe fundisho jamani,wengi wao humu wana wapenzi wao nje.
usikubali hata siku moja,maana kisukari kama mimi,nikimpenda mtu,huwa napenda kweli kweli.
ila kwa jf sithubutu.
leo atatongoza humu,anaangalia upepo,pengine kesho atatongozwa mwengine face book.akikuchoka wewe,atatafuta mwengine tena.
jamani muwe makini.
humu jf,sitokutana na yeyote yule.
nikiwa na stress zangu,naingia jukwaa lile la private,nafurahisha genge,na sign off najiendea zangu kazini
usijute.huji kuwa umeepukika na mengi?si bora imeishia picha tu.au zilikuwa na pozi fulani fulani hivi?ila kama ni za kawaida tu,wala usijali hayo ni mapito tu ya maisha.watu kama leo hulalwa,kesho yake wanaambiwa is over,wewe shukuru mungu tu,usiendelee kumpaisha humu.achana naeplatozoom najuta kumtumia picha zangu
hakuna siku niliyocheka kama leo.maana umechambua hasa.Na wanawake wa JF vipi, wao hawapendi kutongozwa?
Hata wanawake wa JF nao hivyo hivyo. Wengi wao ni wasanii tu na watu tuna first hand experience ya usanii wao. Kwa hiyo mpaka hapo ni ngoma droo.
Hata wanawake wa JF nao hivyo hivyo. Wengi wao wana wapenzi wao nje lakini humu wanajifanya wako singo.
Hata mimi Ngabu, yaani mimi kama mimi, nikimpemda mwanamke huwa nampenda kweli kweli.
Kusema kweli hata mimi nimekoma. So far nimeambulia patupu. Yaani full usanii. Najuta kuwajua hao niliowajua.
Kweli kabisa. Unakutana na mdada humu unadhani wewe kwake uko peke yako. Kumbe hapa hapa JF mko wengi. Anajitongozesha kwako leo, Facebook anajitongozesha kwa The Boss, Skype yuko na The Finest...akirudi kwako anamuua mmoja wao kati ya hao. Anakusimulia yote kuhusu huyo mtu. Oh yuko hivi, yuko vile. Akitoka kwako anarudi kwa The Boss. Huko anaanza kutiririka kuhusu wewe sasa. Utasikia...'ah yule Ngabu michosho sana. Anajifanya much know sana, anaringa sana, anajifanya eti handsome, n.k.
Huu ushauri mzuri sana na unahusika kwa jinsia zote. Kuweni makini jamani.
Hata mimi nimejifunza hilo. Nimekutana na wanawake wasanii sijapata kuona. Chondechonde akina kaka wenzangu. Kuweni waangalifu na hawa wadada wa humu.
Wewe kweli ni mhudhuriaji na mchangiaji mzuri sana kule.