hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
uckute izo picha ulizokuwa unam2mia kakuona we mbaya i mean una sura baya... Hebu kuwa muwazi sister muonekano wako ni mzuri au ni wa hovyo hovyo ili nkusaidie...
uckute izo picha ulizokuwa unam2mia kakuona we mbaya i mean una sura baya... Hebu kuwa muwazi sister muonekano wako ni mzuri au ni wa hovyo hovyo ili nkusaidie...
Asprin, Bishanga, Erickb52, Young_ master na wachimvi wengineo mtoto mpya huyu kajiunga May 28,...You know warra am sayin'Dah.. Aisee pole sana bi dada.. Naelewa maumivu ya mapenzi yanavyouma ila jamani wazungu wanasema Love slowly..Unajipa presha ya li mtu ambalo hulijui, si ajabu ukija kuliona lijanaume lenyewe libayaaa.. Achana nae atakuwa ameona you are too beautiful to be with him..! Songa mbele, utampata wa kukupenda.
Una maana gani Platozoom?
Mmmh... Haya, ngoja nivute hiyo subira...Utajua tu vuta subira