ngwenda ngulya
Member
- Jun 6, 2012
- 44
- 33
Relax, mapenzi hayana pupa. Iko siku utampata bila purukushani.
oh! what a mercy in ma life..and this will be my first regret ever in ma life
sasa nikiwaza hayo mpz si ndio nitakua hata harusi za ukoo siendi kisa naogopa kua labda mmoja wao ndio alikua yeye
nakuelewa my dear, 100 percent.
Ila kila siku why wadada? Mioyo yao mbona haina macho?
Mbona wanaamini haraka sana?
Mbona wanapenda haraka?
Jamani huyu mtengenezaji wa mioyo ya wanawake si aje abadili formula kwa angalau muda mchache?
Sikunangi, i feel you.
kama ni hivo he is is very good at this one( naona zaidi ya wapopoo)some people are very exeprt in playing with FEELINGS za watu na ni wengi mno kwenye mitandao
unachotakiwa ushukuru mungu ni
1-hakula mzigo
2-hukupewa fake promise ya kuolewa
3-hamjaonana
una fujo wee
ngoja nimwite mods gani vile
usijali babu ila nishauri kidogo hapa mana kinachoniuma ni me sending my photos to him
salito asante ila sijapoa bado..tell me am i running crazy or what?? but i love him so much though i havent seen him before