Hata m-buyu ulikuwa ka mchicha
Hivi kwa nini watoto wanakimbia kuoga, tena ukute maji yenyewe ya moto!
majitu makubwa mengine yanaogopa sembuse watoto,likiwa bafuni utasikia linahesabu moja mbili tatu halafu ndo linajimwagia maji huku likisisimka mbaya.unafikiri ni watoto tu.
majitu makubwa mengine yanaogopa sembuse watoto,likiwa bafuni utasikia linahesabu moja mbili tatu halafu ndo linajimwagia maji huku likisisimka mbaya.unafikiri ni watoto tu.
majitu makubwa mengine yanaogopa sembuse watoto,likiwa bafuni utasikia linahesabu moja mbili tatu halafu ndo linajimwagia maji huku likisisimka mbaya.unafikiri ni watoto tu.
sisi tuna timu yetu ya mpira wanaogopa maji kiasi hawaogi tukitoka mzoezini.yaani wanaogopa haswa.Ama nimecheka, ila Philipo tuambie kweli, umewaona wapi jamani? Isije ikawa unahusika? Sasa si bora kujichemshia maji kama ya baridi yanahusisha kuhesabu namba?
wakati fulani nilikuwa sehemu moja inaitwa kidia huko old moshi,kama unavyojua vyoo vyetu vya asili vya majani ya migomba kuna mzee mmoja alikuwa ana kichwa kikubwa sana nilimshuhudia kwa macho yangu anahesabu tena kwa kichaga imu,ziwili,shraru halafu anachota maji anayamwaga pembeni akinguruma ash ahg mmm kuwore mbeu.nasikitika sikijui vizuri kichaga lakini naamini ndivyo alivyokuwa akitamka.mpaka leo nikamtungia jina dingi la ajabu na ndivyo alivyokuja kujulikana baadae cheza na mbeu wewe!ndio zako hizo mkuu...naona umesimulia kwa ufasaha
utasikia moja mbili tatuuuuuuuuuuuuu halafu maji mwaaaaaaa.na saa zingi anamwaga pembeni.kwa wengine kuoga kazi.You made my evening. Nimecheka basi!!! Halafu wengine anaruka kabisa kama ng'ombe kisa anafungua maji kwenye shower au kujimwagia kikombe cha maji tena na saut juu mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.
Hivi kwa nini watoto wanakimbia kuoga, tena ukute maji yenyewe ya moto!