Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,993
Kuna siku nilisema unafrustration na tutaizungumzia siku nyingine kuona huu uzi nimeona tuongelee leo. Frustration ni hali impatayo mtu pale anaposhindwa kufikia malengo yake. Hali huweza kuwa kama ifuatavyo.Ipo siku nitaleta ushuhuda humu. And you will be the first to like and Appreciate My Effort to Succeed. Am close to what i seek.
Apathy: hapa mtu aliyeshindwa kufikia malengo yake hukata tama na kuamua itakavyo kuwa na iwe. Mtu huyu anakuwa amekubaliana na hali ya kushindwa. Unakuta mtu anaanza kuwa mlevi.
Rationalization: hii ni kama ile story ya sizitaki mbichi hizi. Watu wa dizaini hii lazima watafute sababu ya kufeli kwao. Wanaweza kujilaumu wenyewe ila mara nyingi husingizia wengine au mfumo. Mfano unaweza kuwaza "maprofesa wenyewe hali ngumu ndiyo maana anko hawezi hata kutusaidia". Rationalization inauzuri wake kwani humuacha mtu na amani ya akili.
Compensation: hapa ni mtu akishindwa jambo Fulani. Mfano ukiona shule inakushinda unafanya biashara , biashara ikikushinda unalima nk.
Aggression: hapa mtu huwa na hasira kali huelekezea wengine au hata kwake mwenyewe.
Nimesahau inaitwaje: hapa mtu huamua kurudia kufanya ishu alizokuwa akifanikiwa. Mfano motto akizaliwa mwanaume anaanza kuchepuka kupata atensheni iliyohamia kwa mototo.
Nilitaka ujue psychology of failure , ujue upo wapi na uchukue hatua zifaazo.