Wewe utakuwa mfupi...mimi ni mrefu saaaaana ila nakuambia nienjoy kudate na watu wafupi( sio mbilikimo)...warefu wavivu sana kwenye 6*6..wafupi wanajituma sana ili uwaone wako poa, wanaweza kukutoa nishai...wewe raha mustareee
Tujulishe kabisa,ameishaolewa au bado anasoma namba na kuvizia waume za watu,
ubaguzi ni laana,mtu anayejiapiza kumchukia binadamu mwenzie bila sababu ya msingi ukifuatilia maisha yake yanaishia pabaya.
Tujulishe kabisa,ameishaolewa au bado anasoma namba na kuvizia waume za watu,
ubaguzi ni laana,mtu anayejiapiza kumchukia binadamu mwenzie bila sababu ya msingi ukifuatilia maisha yake yanaishia pabaya.