sexy bubble
Senior Member
- Mar 29, 2014
- 156
- 22
- Thread starter
- #221
Thank ulove yourself girl ... let him go... his not your guy okey
Thank ulove yourself girl ... let him go... his not your guy okey
Huyo ni play boy. Yalishanikuta kama hayo.
..wanawake bana...!!! saikolojia ya wanaume ngumu sana, wengi wanasema upo cute kwa sababu zao.. angalia sana mwanaume anayependa kukusifia...
Asante uniombee kweli
Glad you had a good time.
I don't see booze in your Karume Day activities.
teetotaler?
namuonea huruma
Habari za jioni wana MMU,
Mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when I was still katoto but I never took it serious until last year ndo akanitambua.
Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitext yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.
Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni.
Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mpaka yanikumbuke, am I being a little girl or is it just his character.
Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi.
Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali.
POLENI KWA UZI MREFU...
Nakaribia kutimiza 24How old are u??
Nakaribia kutimiza 24
Sio kitu rahisi lakiniPole sana ndio maana jamaa anakuchezea ila we ujastuka tu!!Ki fupi kwa mtazamo wangu huyo jamaa ana mahali kapenda kwako huwa anatafuta kupoza miemko pindi alipopenda hamna game......Kimbia speed zote bado mdogo, sitisha huduma zote kwake
Ndo umeamu uje uniandike huku? Mimi na wewe sasa basi
One sentence for you baby gal, "he is not that into you"!
stop calling him, stop texting him and when you meet 'act normal' like he does. Soon atatoka moyoni mwako, anaenjoy free rent huyo.