KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Mkono,,mkono mtupu pia haulambwi.
Kutoa ni moyo.
Kutoa ni moyo.
Mie sikukaribishi kwa sababu nahisi na hii nayo utaisahau, pengine wewe ni bingwa wa kubadili ID ndo maana ya hiyo hapo BLUE
Nahisi na mimi sikubisha hodi nilijikaribisha mwenyewe. Ngoja nitafute siku maalumu ya kukaribishwa. Lukansola usijiskie vibaya sana kwani kuna mke na mume wanaishi pamoja miaka kibao halafu baadae ndo wanakuja kuoana rasmi wakiwa na watoto tayari
Nadhani unaruhusiwa AshaDii, kwa sababu mimi hapa na act kama ndo kwanza naingia, kwa hiyo nadhani it makes sense kwa yeyote kunikaribisha, karibu unikaribishe AshaDii (LoughOutLoud)
Lunkansola... Tumefurahi saana kupata Member mpya kwa jina lako na Avatar ya wasifa wa pekee, Karibu saana JF jisikie upo nyumbani... Unapendelea nini nikurahisishie jukwaa la kuenda??
hahahhahahaaa! ukaribisho huu utakua fake na hauna utamu. Mimi nimeingia humu juzijuzi nikajiintrojusi nikakaribishwa kwa ukarimu mkuubwa yaan I felt so gud!
Asante sana AshaDii, mimi bana napenda kujichanganya generally, siasa, science na teknologia na mambo yote yanayohusu innovations, haya niambie wapi kwa kwenda mpendwa.
Asante mkuu Katavi, mimi bana nakunywa Guiness baridiiii. Te he he he, kama hakuna Guinness hata kili poa tu.