pinkmousse
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 227
- 88
Piga kimya. Mambo ya ndoa ni ya kwao,watamalizana wenyewe.
utasema kwa sababu shemeji ndio provider? na kama dadako je ndo angekua nazo ungesema kwa shemeji? au unamtaka wewe? kama utasema halafu iweje? TAFAKARI kabla ya kuchukua hatua, je dadako anapata haki yake ya ndoa huko chumbani kwao ama we unajali mafweza tu kutoka kwa bwana shemeji? Kua uyaone!
Her husband is a business man and he is the best man you would ever meet. Hes so good to my family, and he hardly ever raises his voice or gets mad.
You know mellow and calm people? Thats him! I love and respect him like I would my father cos hes like 8 years older than my sister.
He takes care of his children (they have two) and he gives my sister and me lots of money.......
Imeniuma sana sana kuona anamcheat........
Naomba Ushauri wenu kabla sijamsemea
Kwa hiyo wanocheat kumbe huwa hawatosheki kwa wenza wao sio?
akisutwa utamsaidia?kaseme mwaya.....
mkanye dada yako! Na mbona swala la gharama linakuuma sana isijeikawa unatafuta maslai zaidi kupitia makosa ya dada yako! ?The Boss hebu jaribu kufikiri kama ww ndio mume wa dadangu na unatuhudumia kwa gharama kubwa sana... halafu kuna njemba ana mmega, ukija kujua utajisikiaje?? Na hii hatari ambayo mimi binafsi naiona, hivi kweli sipaswi kuchukua hatua yoyote?!
na hatopata muda wa kumchunga dada yake atakua anamchunga wife asimegwe km sister, teh teh teqKikubwa sasa na wewe umekua Oa uwe busy na familia yako