Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
heeee...huyu CD wa Igunga kawa dhahabu tena....jamani mwacheni alikuwa anatekeleza u=-CD wake he...
heee. . Mkuu ni Dc au Cd? Mmmh!
heeee...huyu CD wa Igunga kawa dhahabu tena....jamani mwacheni alikuwa anatekeleza u=-CD wake he...
heee. . Mkuu ni Dc au Cd? Mmmh!
cd hapa kwetu ina maana CHANGU DOA/KAHABA. So that mumy we think alikuwa....!?
OMG......yaani nikisikia haya maneno namwonea huruma sana mumewe mzee wa kanisa wa watu....lol, maana haya maneno yanawatoka tu vijana hapa na mzee sijui anasimamaje kule kanisani kusoma matangazo na kushauri wake za kondoo anaowasimamia.....lol!!!