Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
Kigezo cha kuona ananifaa ni kipi kwa mfano
kama namba ya simu namie ninayo.....
Sijui niliwaza nini hata sababu nimeisahau! Nikikumbuka nitarudi.
Kigezo cha kuona ananifaa ni kipi kwa mfano
kama namba ya simu namie ninayo.....
# its the means for making us to know each other in deep,so we can know each other through that #.
Tatizo awezi ongea.... mwakani tutamkuta tena humu anasema hajapata
Jaman wadada wenzangu muoneeni huruma mkaka huyu jaman!hehehe me am ordy bukd!
weka cv yako
Jaman wadada wenzangu muoneeni huruma mkaka huyu jaman!hehehe me am ordy bukd!
Jaman wadada wenzangu muoneeni huruma mkaka huyu jaman!hehehe me am ordy bukd!
Sikia wewe acha kulalamika lalamika wanawake hatupendi hivo# its just the means for making us to know each other in deep,so we can know each other through that #.
mkaka kafulia anatoa toa macho
Kigezo cha kuona ananifaa ni kipi kwa mfano
kama namba ya simu namie ninayo.....
hahaa we jamanii mwambieni mkono mtupu haulambwii
Labda mtoni kijichi
Wanaokufaa wewe (kwa mtazamo wangu) ni Evelyn Salt, lara 1, badiebey, charminglady, Heaven on Earth. Anza na hao. Mambo ya kujifanya unamwamini Mungu halafu huchukui hatua, utaoa una miaka 65, shauri yako! Na kama ukitoka JF hasa MMU huna mke basi wewe nenda kaoge maji ya bahari halafu urudi tena! Fanya mambo kijana misukari ipo mingi humu, piga sound za ukweli, daadeki ingekuwa mie enzi za ujana wangu!
CC Babu Asprin
habari za sa hizi ndugu zangu,bado sijampata mke mtarajiwa ndugu,my contact are:elly.makombe@gmail.com,0715 406010,contact 4 more datails but nipo dar mtoni kijichi.