Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
hongereni sana mama zetu.....!
tumechagua kuyaepuka na kuyakemea matendo ya kikatili dhidi ya wanawake...!
tumechagua kuwathamini,kuwaheshimu na kuwapenda wanawake.....!
Have A Blast ASHADII....!
PAMOUUUJEEEERRRR!
Hujamalizia kamanda,
Nilisubiri kusikia hitimisho kama hili....
"Ila mara moja moja shetani anafanya vitu vyake na tuna........."......Hata hivyo, jueni kwamba tunawapenda saaaanaaaaaaaaaaa!!!!!!
Babu DC!!