Utajiri ni kuwa na pesa na Mali bro..Hiyo misingi and what ni mbwembwe tu ..Kwanza nikuweke wazi huyo siyo tajiri ni mtu aliyepata nafuu tu kwenye maisha. Huyo ni mtu ambaye hana misingi ya utajiri na matajiri hawaongei na kufikiria kwa namna hiyo.
Watoto wanaishi na mama ake ..Akiweka namba za simu masikini watamsumbua Madam Mwajuma , Na yeye inaonesha hataki kufungamana na jamii ya watu masikini kama sisi.
Ahahhhahahahaaaa
Mimi nadhani hiyo sio sababu ya yeye kutokuoa, hiyo imekuwa kama sehemu ya kuficha mapungufu yake, hasa ukizingatia tumeambiwa watoto alionao aliwapata zamani kabla ya kuwa tajiri. Usikute ni utajiri wa masharti, labda haruhusiwi kuwa na familia nk.
Mtoa mada kwa niaba ya tajiri asiyejulikana LIKUD hujatuambia kuhusu watoto wa tajiri walipo kwa maana wanaishi wapi na wanalelewa na nani.
Kwanza nikuweke wazi huyo siyo tajiri ni mtu aliyepata nafuu tu kwenye maisha. Huyo ni mtu ambaye hana misingi ya utajiri na matajiri hawaongei na kufikiria kwa namna hiyo.
NdioMkuu unamaanisha hata huyo jamaa waliomzunguka ni wanafiki?
Watoto wanaishi na mama ake ..
Sasa huyo rafiki yako sisi tunamjua?Jiangalie wewe na watu wanao kuzunguka..Hatuwezi kuwazungumzia Obama na May weather kwa sababu hatujui wala hatuna uhakika Nani ana pesa nyingi kumshinda mwenzake
Unanunua ngombe wa nini wakati ukitaka nyama utazipata buchani?Ahsante, kwa mtizamo wangu huyo tajiri asiyejulikana kuna kitu hatokaa awaambie kimefikicha.
Ila niliona sehemu ukiandika kuwa ndege wanaofanana huruka pamoja ukisisitiza huwa mko pamoja, nini msimamo wako juu ya swala hilo, nawe hujao na huna mpango wa kuoa kwa vile nawe ni tajiri pia ama?
Kuna msemo wa kizungu, ila nautoa kwa kiswahili kwa tafsri isiyo rasmi unasema "Nioneshe rafiki yako/zako nami nitakueleza wewe ni mtu wa namna gani"
Expand your horizons.Jiangalie wewe na watu wanao kuzunguka..Hatuwezi kuwazungumzia Obama na May weather kwa sababu hatujui wala hatuna uhakika Nani ana pesa nyingi kumshinda mwenzake
Thank you brother. Anakomaa niangalie wanaonizunguka huku ametuletea stori ya kijiweni kwake!Sasa huyo rafiki yako sisi tunamjua?
Kama hivyo hii discussion ungeiacha huko kijiweni kwenu mnakoamini huyo mjinga kawazidi akili nyote.
Kwani Obama ana akili?Floyd Mayweather ana akili kuliko Barack Obama??
na mama ako akiwemo....Asioe wanawake ni viumbe wa ajabu sana....