I am too Rich to get married

I am too Rich to get married

anaweza akawa na point upande mwingine..

ingekuwa kuna mtu alikuwa anakupenda toka enz ya msoto yupo free. huyo unaweza oa... ila hawa wa kukutana nao umeshatoboa.. hawa ni wa kwenda nao kwa umakini...

babu sambeke hakuoa hadi anafariki, ruge mutahaba mpaka kesho hajaoa... na wengine wengi tu
 
Hakuna haja ya kuoa unapokuwa unamiliki mkwanja wa kutosha, ya nini kujisogezea stress ambazo kimsingi unaweza ziepuka? Naungana na huyo bilionea asiyejulikana.
Buhahaha bilionea asie julikana
 
Floyd Mayweather ana akili kuliko Barack Obama??
Mbona unatolea mfano wa watu wasio kuhusu..mi nimesema ukiona MTU anapesa nyingi kuliko wewe maana yake ni kwamba ana akili nyingi kuliko wewe..Jitafakari wewe na maisha yako .na uchukulie kama challenge katika maisha yako.Dont bring Obama and May weather here..We are not talking about them
 
Sio maneno yangu ni maneno ya broo mmoja wa kitaani kwetu..He is in his late 30s.Alimalizaga pale Udsm miaka ya 2008 ..mwaka ulio fuata akaenda zake Moz kutafuta utajiri kupitia madini ya Ruby.Mungu kamletea heri sasa hivi jamaa ni bilionea ( In terms of Tshs) .

Kwa ufupi jamaa ana " mzigo" wa kutosha ..
He got three children from 2 different women ..

Jana usiku tulikuwa na wadau kadhaa tunabadilishana NAE mawazo ..akatuambia jinsi Wazazi wake wanavyo msumbua aoe.

Jamaa anasema hawezi kuoa kwa sasa kwa sababu yeye ni tajiri sana..
" Wadogo zangu kuna kiwango cha pesa ukiwa nacho kuoa ni risk sana ..Sasa hivi Mimi sihitaji kuoa ..Ndoa ni swala linalo fanywa na watu masikini...Ningeweza kumuoa mwanamke ambae ningekuwa nimeanza kuhustle NAE hadi kufikia mafanikio niliyo nayo ..

But kwa mafanikio niliyo nayo sihitaji mwanamke wa kuoa ..


Tukampa mfano wa Mengi mbona yeye tajiri sana lakini kamuoa Ntuyabaliwe..

Jibu lake "Mengi ni mzee MTu mzima..He has nothing to loose..Mimi bado kijana bana hata miaka arobaini bado sijafikisha.."

Kwa ufupi anasema ukiwa tajiri mwanamke atakuja kwako kwa ajili ya Mali zako na uwezekano wa kukuua ili amiliki Mali zako ni asilimia mia..

Guys do u agree with him ?
yupo sahihi kwa upande wake na fikra zake.
 
Hizo ni kauli za kichochezi na huo ni uchochezi wa kijinsia. Sikubaliani na huyo tajiri uchwara kwa namna yoyote ile. Utajiri au umaskini siyo excuse ya kutooa, wapo matajiri ambao wameingia kwenye listi ya matajiri kumi bora duniani ya FORBES na wote wameona. Huyo mvulana wa mkoani atakua ana matatizo ya kijinsia na anaogopa siri zake zisije zikawekwa hadharani. Kuoa ni ibada, kuoa ni kutengeneza mazingira ambayo watoto watalelewa vizuri kwa uangalizi wa watu wawili na hilo ndilo kusudio la Mungu kwa kuanzisha familia. Mali tunazokusanya hapa duniani mwisho wake ni kaburini, huyo tajiri uchwara akifa hawezi kuzikwa na mali zake ataenda kaburini kama alivyozaliwa. Kwangu mimi naona amekua mchoyo wa kutumia mali zake na mwanamke. Akiuzoea huo utajiri atabadilika.
 
Mbona unatolea mfano wa watu wasio kuhusu..mi nimesema ukiona MTU anapesa nyingi kuliko wewe maana yake ni kwamba ana akili nyingi kuliko wewe..Jitafakari wewe na maisha yako .na uchukulie kama challenge katika maisha yako.Dont bring Obama and May weather here..We are not talking about them
Ha ha naona umekubali ulichokisema hakina mantiki. Siishi kwenye box naishi maisha yako wazi naangalia zaidi ya upeo wa macho yangu kwahio siwezi kuacha kuangalia watu kama Floyd,Obama,Carson etc.
 
Hizo ni kauli za kichochezi na huo ni uchochezi wa kijinsia. Sikubaliani na huyo tajiri uchwara kwa namna yoyote ile. Utajiri au umaskini siyo excuse ya kutooa, wapo matajiri ambao wameingia kwenye listi ya matajiri kumi bora duniani ya FORBES na wote wameona. Huyo mvulana wa mkoani atakua ana matatizo ya kijinsia na anaogopa siri zake zisije zikawekwa hadharani. Kuoa ni ibada, kuoa ni kutengeneza mazingira ambayo watoto watalelewa vizuri kwa uangalizi wa watu wawili na hilo ndilo kusudio la Mungu kwa kuanzisha familia. Mali tunazokusanya hapa duniani mwisho wake ni kaburini, huyo tajiri uchwara akifa hawezi kuzikwa na mali zake ataenda kaburini kama alivyozaliwa. Kwangu mimi naona amekua mchoyo wa kutumia mali zake na mwanamke. Akiuzoea huo utajiri atabadilika.
Anasema mawazo yenye hekima na busara kama haya hutoka kwa watu masikini wasio na kitu.Lakini kwa yeye tajiri hawezi kuwa na mawazo kama yako..Anasema mawazo ya tajiri hayawezi kukaa kwenye kichwa cha masikini and vice versa.. Akatuambia hata " mkipataga pesa huwa mnaspend like u don't mean nothing ila zikiisha ndo akili zinakuja..I think he is right
 
Ha ha naona umekubali ulichokisema hakina mantiki. Siishi kwenye box naishi maisha yako wazi naangalia zaidi ya upeo wa macho yangu kwahio siwezi kuacha kuangalia watu kama Floyd,Obama,Carson etc.
Jiangalie wewe na watu wanao kuzunguka..Hatuwezi kuwazungumzia Obama na May weather kwa sababu hatujui wala hatuna uhakika Nani ana pesa nyingi kumshinda mwenzake
 
Na wewe ulimsupport kwasababu yeye ndio alikua mnunua vinywaji?
 
Mungu akusamehe kwa majaribu uliyowapa wanawake wapenda pesa. Si ungeweka namba yake bro

Akiweka namba za simu masikini watamsumbua Madam Mwajuma , Na yeye inaonesha hataki kufungamana na jamii ya watu masikini kama sisi.

Ahahhhahahahaaaa

Mimi nadhani hiyo sio sababu ya yeye kutokuoa, hiyo imekuwa kama sehemu ya kuficha mapungufu yake, hasa ukizingatia tumeambiwa watoto alionao aliwapata zamani kabla ya kuwa tajiri. Usikute ni utajiri wa masharti, labda haruhusiwi kuwa na familia nk.

Mtoa mada kwa niaba ya tajiri asiyejulikana LIKUD hujatuambia kuhusu watoto wa tajiri walipo kwa maana wanaishi wapi na wanalelewa na nani.
 
Anasema mawazo yenye hekima na busara kama haya hutoka kwa watu masikini wasio na kitu.Lakini kwa yeye tajiri hawezi kuwa na mawazo kama yako..Anasema mawazo ya tajiri hayawezi kukaa kwenye kichwa cha masikini and vice versa.. Akatuambia hata " mkipataga pesa huwa mnaspend like u don't mean nothing ila zikiisha ndo akili zinakuja..I think he is right
Kwanza nikuweke wazi huyo siyo tajiri ni mtu aliyepata nafuu tu kwenye maisha. Huyo ni mtu ambaye hana misingi ya utajiri na matajiri hawaongei na kufikiria kwa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom