I am so lonely and depressed, stressful

I am so lonely and depressed, stressful

Hi all!
Nahitaji mkaka yeyote amongst you who is heart-broken,lonely na hajawahi kupata true love katika mahusiano aloingia..Either your gal cheated or left u without any reason or with foolish reasons like u have no money,u r not this or that or like someone i adore and wish to b with!!U R NEEDED HERE!
NB:WALIOUMIZWA TU,KAMA ULIMCHEAT WEWE TAFADHALI USIJE!
MY ex left me for foolish reasons ambazo hata nkikwambia u will drop the jaw ...Iam innocent and i wanted to hate all mens because of him but nimegunndua ni foolish thought,there are millions of men out there wanaohitaji upendo wa kweli kama mimi kuna wanaume wanaowaza kukutana na eva wao but wanakutana na mabinti wa ajabu ajabu na sifa mbaya zisizofaa na wanfikia hatua ya kudhani mabinti wote tuko hivo!its not easy mimi kukutana na mtu wa aina hii tukajua nia zetu kwani moyo wa mtu ndo uloyabeba sio sura yake!
Hata kama uko kwenye wakati mgumu maishani,karibu! ntakuwa faraja yako nawe utakuwa faraja yangu kwani nami kuna mambo napitia maishani,mitihani ya hapa na pale but nasimama imara!
VIGEZO VYAKO:
Physically appearance u must be tall about 5 ft up! kuanzia miaka 25 kupanda juu.
Rangi yoyote,uwe umesoma uwe umejiajiri ama umeajiriwa yote ni sawa mradi uwe na kipato cha kujikimu na kula kwa jasho lako cz imeandikwa mwanaume atakula kwa jasho lake" na ukiwa legelege ni chukizo hata kwa muumba,sio kwangu tu! uwe mcha mungu cz mimi pia ni mcha na mwenye hofu ya mungu,siend club wala cjawahi,sijawahi kunywa pombe tangu nzaliwe,sina gangs za kuchuna mabuz wala kuparamia waume za watu cjawah,inshort sina historia yyte chafu!
if unajijua vizuri we ni mhuni,hit and run type,sharobaro au bado unakula ujana pita hivi
i prefer mostly Uwe dar cz nimepazoea na pia ndo nnapoishi
uwe makabila yoyote but sio wa manyara au musoma huko..Nawaogopa
iam tall,super model,fair black,24yrs..Mengine utajua mbele wakati wa kufahamiana
Urs humbly,
Humble chick
Requirements buku mbili utafikiri wewe ni mtoto Bill get!!

Endelea kusubiri utampata tu mamaa..
 
What do you mean?
When you don’t want me to move
But you tell me to go
What do you mean?
What do you mean?
 
Naamini hadi muda huu, inbobo itakuwa imejaa PMs pomoni.
 
Natamani tupatane, kuna movie nzuri tunaeza fanya, unae uwezo wa kufanya script nzuri.
 
Aisee sasa alie kuacha akirudi mi ntakaa wapi?maana umeharakisha sana kutafuta mwingine m vuta muda jamaa anaweza rudi labda.
 
Hi all!
Nahitaji mkaka yeyote amongst you who is heart-broken,lonely na hajawahi kupata true love katika mahusiano aloingia..Either your gal cheated or left u without any reason or with foolish reasons like u have no money,u r not this or that or like someone i adore and wish to b with!!U R NEEDED HERE!
NB:WALIOUMIZWA TU,KAMA ULIMCHEAT WEWE TAFADHALI USIJE!
MY ex left me for foolish reasons ambazo hata nkikwambia u will drop the jaw ...Iam innocent and i wanted to hate all mens because of him but nimegunndua ni foolish thought,there are millions of men out there wanaohitaji upendo wa kweli kama mimi kuna wanaume wanaowaza kukutana na eva wao but wanakutana na mabinti wa ajabu ajabu na sifa mbaya zisizofaa na wanfikia hatua ya kudhani mabinti wote tuko hivo!its not easy mimi kukutana na mtu wa aina hii tukajua nia zetu kwani moyo wa mtu ndo uloyabeba sio sura yake!
Hata kama uko kwenye wakati mgumu maishani,karibu! ntakuwa faraja yako nawe utakuwa faraja yangu kwani nami kuna mambo napitia maishani,mitihani ya hapa na pale but nasimama imara!
VIGEZO VYAKO:
Physically appearance u must be tall about 5 ft up! kuanzia miaka 25 kupanda juu.
Rangi yoyote,uwe umesoma uwe umejiajiri ama umeajiriwa yote ni sawa mradi uwe na kipato cha kujikimu na kula kwa jasho lako cz imeandikwa mwanaume atakula kwa jasho lake" na ukiwa legelege ni chukizo hata kwa muumba,sio kwangu tu! uwe mcha mungu cz mimi pia ni mcha na mwenye hofu ya mungu,siend club wala cjawahi,sijawahi kunywa pombe tangu nzaliwe,sina gangs za kuchuna mabuz wala kuparamia waume za watu cjawah,inshort sina historia yyte chafu!
if unajijua vizuri we ni mhuni,hit and run type,sharobaro au bado unakula ujana pita hivi
i prefer mostly Uwe dar cz nimepazoea na pia ndo nnapoishi
uwe makabila yoyote but sio wa manyara au musoma huko..Nawaogopa
iam tall,super model,fair black,24yrs..Mengine utajua mbele wakati wa kufahamiana
Urs humbly,
Humble chick

Damn... Umeshani exclude already!. I should have been a man of your dream, babe girl!.
 
I like how this message was composed and delivered.I would have hit your DM,but only one mentioned condition excludes me from the race.
Wish you luck humble chick
 
come to me baby, am struggle for love, I think its right time for me and you to open new chapter..if you are serious pm me, I will pm you back , humble chick
 
Daaah!!! Hio ID yako sasa!, it make me wanna!!!..... Hongera kwa kutokukata tamaa!
 
I know someone,yupo very desperate,lonely and heartbroken...vigezo vyote anavyo kasoro kimoja,he is caring,loving,sweet,mpoleeeee.......ila ni MKURYA upo tayari
 
Your humble chick then I'm humble african, and it feels like we share a lot of things in common and matter of fact I'm posessing all of your mentioned criteria ...!

Vp can we seal a deal sweet and take it to the next level?
 
Hi all!
Nahitaji mkaka yeyote amongst you who is heart-broken,lonely na hajawahi kupata true love katika mahusiano aloingia..Either your gal cheated or left u without any reason or with foolish reasons like u have no money,u r not this or that or like someone i adore and wish to b with!!U R NEEDED HERE!
NB:WALIOUMIZWA TU,KAMA ULIMCHEAT WEWE TAFADHALI USIJE!
MY ex left me for foolish reasons ambazo hata nkikwambia u will drop the jaw ...Iam innocent and i wanted to hate all mens because of him but nimegunndua ni foolish thought,there are millions of men out there wanaohitaji upendo wa kweli kama mimi kuna wanaume wanaowaza kukutana na eva wao but wanakutana na mabinti wa ajabu ajabu na sifa mbaya zisizofaa na wanfikia hatua ya kudhani mabinti wote tuko hivo!its not easy mimi kukutana na mtu wa aina hii tukajua nia zetu kwani moyo wa mtu ndo uloyabeba sio sura yake!
Hata kama uko kwenye wakati mgumu maishani,karibu! ntakuwa faraja yako nawe utakuwa faraja yangu kwani nami kuna mambo napitia maishani,mitihani ya hapa na pale but nasimama imara!
VIGEZO VYAKO:
Physically appearance u must be tall about 5 ft up! kuanzia miaka 25 kupanda juu.
Rangi yoyote,uwe umesoma uwe umejiajiri ama umeajiriwa yote ni sawa mradi uwe na kipato cha kujikimu na kula kwa jasho lako cz imeandikwa mwanaume atakula kwa jasho lake" na ukiwa legelege ni chukizo hata kwa muumba,sio kwangu tu! uwe mcha mungu cz mimi pia ni mcha na mwenye hofu ya mungu,siend club wala cjawahi,sijawahi kunywa pombe tangu nzaliwe,sina gangs za kuchuna mabuz wala kuparamia waume za watu cjawah,inshort sina historia yyte chafu!
if unajijua vizuri we ni mhuni,hit and run type,sharobaro au bado unakula ujana pita hivi
i prefer mostly Uwe dar cz nimepazoea na pia ndo nnapoishi
uwe makabila yoyote but sio wa manyara au musoma huko..Nawaogopa
iam tall,super model,fair black,24yrs..Mengine utajua mbele wakati wa kufahamiana
Urs humbly,
Humble chick

Hi sweet!?uko poa wew?
 
Back
Top Bottom