why friend?Women are like hurricanes, they come as wet and wild and they leave with your house, cars and dignity.
why friend?Women are like hurricanes, they come as wet and wild and they leave with your house, cars and dignity.
baadhi ya wanawake hata uwape nini bado ni problems tu ninakubali kwamba they are troublesome not devils by the way.
He's definitely correct some women and men are devil
Women are like hurricanes, they come as wet and wild and they leave with your house, cars and dignity.
Umenena vyema, 'baadhi'.
Usisahau kuna baadhi ya wanaume hata ubebe na mbeleko ya bati hawabebeki! Its human nature, tuko tofauti.
Umenena vyema, 'baadhi'.
Usisahau kuna baadhi ya wanaume hata ubebe na mbeleko ya bati hawabebeki! Its human nature, tuko tofauti.
Ndoa ni nyingi zenye matatizo.... Mara nyingi inapotokea ndoa imevunjika kila mmoja wa ma ex's hao hushuhudia kua wao walikua wema na kwamba ex wake ndie alie kua na madhaifu zaidi. Kuweza pata Ukweli ni pale tu wote wawili wanapokuwepo.
Hata hivo kwa kuzingatia topic yako; napenda nigusie kua hapo ndipo watalaka hukosea... Unapomkashifu huyo ex wako mara kwa mara ina maana hata kwa watoto wafanya hivo hivo (kuonesha mama/baba yao alikua in the wrong; which is not rite sababu watoto wanatakiwa waheshimu mzazi wao no matter ana madhaifu yepi!). Ingekua kila mtalaka anakaa vizuri na kutafakari nafasi yake katika kuvunjika kwa ndoa... Ingesaidia sana sisi kujifunza tokana na Makosa, Ingesaidia kua wastaarabu na saingine hata kutambua kua kwa kweli spouse wako alikua akijitahidi juu yako ila wewe mwenyewe ulikua na madhaifu mno, na pia kutujenga kama wanadamu; through learning from mistakes.
Hata hivo kuna ex's wanaumiza jamani..... Wanaumiza mno na watamani Umtukane kabisaaaa! Hasa kama bado ana uwezo wa kukuumiza na hali msha talakiana. It hurts....
Ndoa ni nyingi zenye matatizo.... Mara nyingi inapotokea ndoa imevunjika kila mmoja wa ma ex's hao hushuhudia kua wao walikua wema na kwamba ex wake ndie alie kua na madhaifu zaidi. Kuweza pata Ukweli ni pale tu wote wawili wanapokuwepo.
Hata hivo kwa kuzingatia topic yako; napenda nigusie kua hapo ndipo watalaka hukosea... Unapomkashifu huyo ex wako mara kwa mara ina maana hata kwa watoto wafanya hivo hivo (kuonesha mama/baba yao alikua in the wrong; which is not rite sababu watoto wanatakiwa waheshimu mzazi wao no matter ana madhaifu yepi!). Ingekua kila mtalaka anakaa vizuri na kutafakari nafasi yake katika kuvunjika kwa ndoa... Ingesaidia sana sisi kujifunza tokana na Makosa, Ingesaidia kua wastaarabu na saingine hata kutambua kua kwa kweli spouse wako alikua akijitahidi juu yako ila wewe mwenyewe ulikua na madhaifu mno, na pia kutujenga kama wanadamu; through learning from mistakes.
Hata hivo kuna ex's wanaumiza jamani..... Wanaumiza mno na watamani Umtukane kabisaaaa! Hasa kama bado ana uwezo wa kukuumiza na hali msha talakiana. It hurts....
Unapokutana na mwanamke na kumpenda na kuamua kuishi nae ......na wote makakubaliana ... UKUMBUKE UMEOA MWANADAMU [HUMAN BEING] HUJAOA MALAIKA [ANGEL] .......hivyo DONT HAVE TOO HIGH POSITIVE EXPECTAIONS .......ELEWA NA NEGATIVE ZITAKUWEPO - na hii ni kwa WOTE [MUME/MKE].
Ndoa ni kuvumiliana, kusameheana, kurekebishana, kupendana na kupeana ...... Kama small negative unaifanya BIG ISSUE - matokeo yake ni DIVORCE .. na inapotokea ......TAFAKARI - WAPI WEWE ULIKOSEA KABLA YA KUMNYOSHEA MWENZIO KIDOLE
You are a devel that's why you married a devel. Acha kutuita wanawake wote madevel ni wewe na mkeo. Nenda kwa TB Joshua ukatolewe spiritual wife