I am calling off the wedding!!!

I am calling off the wedding!!!

rafikimkweli

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
349
Reaction score
121
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...

Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....

Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...

I have just called her to tell her this....


Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
 
Lol!maisha haya pole ndugu ila punguza jazba tu!kwahiyo unatujulisha tu au sio tunashukuru kwa taarifa!
 
Pole mkuu....ongea na watu wa karibu pia kama wanawezasaidia...ikishindikana go ahead
 
pole......ulishamweleza mara ngapi juu ya hyo tabia yake ya kiburi......
 
Pole,,, tupe feedback bi dada kasemaje???!! angalizo shuntama yaweza kukufanya uoe hicho kiburi.
 
safi sana...........karibu mabarchelor camp wangu
 
Pole,,, tupe feedback bi dada kasemaje???!! angalizo shuntama yaweza kukufanya uoe hicho kiburi.

tugange yetu........!!ila jamaa ana roho ya kishujaa mzee anaahirisha jamaa noumah sana
 
Pole,,, tupe feedback bi dada kasemaje???!! angalizo shuntama yaweza kukufanya uoe hicho kiburi.
Hakuna cha kusema sikutaka kusikiliza i simply call and hanged, nilishamuonya mara nyingi reaction yake ni usiwe na wasi wasi bwana...this is it..calling it an end of the road..
 
kuwa mpole jamani mbona kama una mihasira?
 
pole sana mkuu inaonyesha ulivyochoka na tabia hiyo!!!!!!! mh bidada anasemaje ?
 
Pole mkuu....ongea na watu wa karibu pia kama wanawezasaidia...ikishindikana go ahead
sisi ndio wahusika wakuu, sihitaji watu wa pembeni, tabia kama hii hairekebishiki mkuu, ni mbaya...hat akionywa huwa mtu mwenye kiburi lazima ataleta tu kiburi tu huko mbele ya safari bora nifunge mahesabu mapema
 
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...

Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....

Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...

I have just called her to tell her this....


Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
naomba usirudi nyuma hata akiomba vip! kiburi ni kibaya sana kinaweza kukufanya ukamvunja mtoto wa mtu bure.
 
Huna lolote wewe umeshapiga moto michango ya harusi unatafuta kisingizio aisee! Mjini hapa.
 
Back
Top Bottom