financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,135
- 40,702
Wapende tu mkuu na ikibidi oa kabisa, nao wana haki ya kupendwa na kupenda pia,kuwa na mtoto si dhambi.
Hajui kama single maza ni kama 0.freebasics.com!Da!!! Unatumia pesa sana kwa single mother wakati mabaharia wanapiga free tu
Ww tulia bhana 😂😂😂😂Nahisi hutaoa ww.
Na hao utakaowazalisha watafanyiwa hivyo hivyo kama unavyowafanyia wa wenzako.
Kwann usitafute Msichana wa kwako ukatulia nae upange nae maisha?
Nipende basi na mimi singo faza ,,Wapende tu mkuu na ikibidi oa kabisa, nao wana haki ya kupendwa na kupenda pia,kuwa na mtoto si dhambi.
Nakupenda singo faza Hazard na mipombe yako😬Nipende basi na mimi singo faza ,,
Kabla hatujafika mbali...vipi utaniruhusu niendelee na pombe au utajaribu niachisha?Nakupenda singo faza Hazard na mipombe yako
Hahaha aiseeeSingle mother wengi walio wagawaji ovyo unakuta hawana hata mvuto.
:Nasema hivi wanangu hamuwezi kunyonya ziwa limelala kama ndala nikiwa hai.
Nitawatafutia mama ako na Nyonyo kubwa zimesimama
I will be in my 30's.Wakati huo nguvu zitakuwa zimeshaisha.
Matatizo ni kama makalio, wengine wana makubwa na wengine ni madogo tu.
Dah nao Wana mahitaji...Hajui kama single maza ni kama 0.freebasics.com!
“KAMSELELEKOOOO”
Single mother wengi walio wagawaji ovyo unakuta hawana hata mvuto.
:Nasema hivi wanangu hamuwezi kunyonya ziwa limelala kama ndala nikiwa hai.
Nitawatafutia mama ako na Nyonyo kubwa zimesimama
Single mother wengi walio wagawaji ovyo unakuta hawana hata mvuto.
:Nasema hivi wanangu hamuwezi kunyonya ziwa limelala kama ndala nikiwa hai.
Nitawatafutia mama ako na Nyonyo kubwa zimesimama
Umri mzuri wa kuoa ni around 25-30, Ikiwa umejipanga vizuri.Ili kwamba uwe na uwezo wa kuwalea Watoto vizuri,na kumpa dozi inayotakiwa mkeo.Ukichelewa sana kuoa Kuna Watoto utashindwa kuwalea vema, unless utazaa mtoto mmoja tu au wawili.Mke naye labda uoe mkubwa mwenzio,ukioa dogo dogo Vijana watakusaidia kumpa dudu kwasababu wewe nguvu zitakuwa zinaishia.I will be in my 30's.
Kwani kuoa mwisho miaka mingapi?
Maana kuna mwamba kaoa akiwa na miaka 39, mwengine 33, mwengine 29, mwengine 30.
Na Kuna wengine hawajaoa na wanamiaka 28, mwengine, 32, mwengine 37, mwengine 35...
Ukitoa exception zotee kwani general rule KUOA NI UKIWA NA MIAKA MINGAPI?
#YNWA
Punguza ukali wa manenoMatatizo ni kama makalio, wengine wana makubwa na wengine ni madogo tu.
Hahaa chagua pombe ama mke ova, na nnavokufahamu utachagua pombe wewe😏😏Kabla hatujafika mbali...vipi utaniruhusu niendelee na pombe au utajaribu niachisha?