I ain't your mama

Teh teh teh life ni ujasiri wa kufanya maamuzi hapo hapo hongera kijana.
Mwanaume unatakiwa unfanye maamuzi magumu haijalishi yanaumiza. Unafanya tuu kwakua wewe ni mwanaume. Watu wako bize kuwaza maisha magumu yeye anaimba mafumbo nafukuzaa. Akashitaki sehem.
 
Bhuahahahahaha dah nimecheka sanaaa. ..mleta mada nadhan una mawazo ya kimwendo kasi
 
We ulkua humpendi tu huyo mwanamke ndo maana...huwezi kumfanyia hivo MTU unae mpenda kwa dhati coz lilikua n Jambo dogo Sana lakuzungumza akajirekebisha maybe if there is something behind your relationship
 
sipendagi wanaume wenye akil kama hizi..wanaoendeshwa na matukio..aiseee huko na tabia za kivulana..ebu kua hiyo akili kabla hujaingia ndoanii!! coz inaonesha wee ni mtupu sana kwenye kupambanua mambo!!
yaan wimbo tu unamkusanyia mwenzio virago!!chaa
 
Una tatizo si bure.....

Ni wimbo mzuri.... Ameupenda.... Umejishtukia tu...
 
sipendagi wanaume wenye akil kama hizi..wanaoendeshwa na matukio..aiseee huko na tabia za kivulana..ebu kua hiyo akili kabla hujaingia ndoanii!! coz inaonesha wee ni mtupu sana kwenye kupambanua mambo!!
yaan wimbo tu unamkusanyia mwenzio virago!!chaa
Helloo
 
Sasa unamuacha bila kumuuliza sababu ya kuimba wimbo mpya,, pengine anaupenda tuu...
 
Let her go..Safi sana, madem wenye dharau ni kufunua na kufunika tu. Juzi tu nimefanya haya maamuzi pia, tena najiona niko sahihi sana,.
 
yes. nymbo ukiipenda inakaa sna mdomon sdhaani kama she meant what she sang..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…