CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Wakuu Hydroponic si kwamba ni zao, ni sayansi ya kuotesha mazao kwa kutumia maji na nutrients zingine, yaani hutumii udongo kamwe, na unaweza otesha hata Mboga za kula kwa hii sayansi,
Na mara nyingi inatumika kuotesha vyakula vya mifugo, kuotesha, nyanya, mboga za majani, na baadhi ya matunda.
HYDROPONIC FODDER-Ni kulima/kuotesha chakula cha Mifugo kama vile, Kuku, Mbuzi, Cow, kondoo na kazalika, ila kama ni mboga inaweza itwa hydrponic tomatoes na kazalika,
Hapa jamaa kaotesha mboga zake na anaweza uza bila tatizo
majani ya mifugo
Chakula kama hiki wanaweza kula kuku, Ng'ombe, mbuzi na hata kondoo
HYDROPONIC FODDER, Mara nyingi inapendelewa ioteshwe ngano ya bia au Barley hii ndo ina nutrients zote kiasi kwamba utapata energy, protein, vitamini na kazalika, ingawa hata oats inaweza oteshwa ao hata wheat.
Kuna kitu hakijaeleweka hapa.
HYDROPONIC Unaweza kuotesha everything kwa kutumia maji na nutrients ikiwemo, fodder, na mbali na chakula cha mifugo unaweza otesha nyanya, na mboga mbalimbali.
KUHUSU CHAKULA CHA MIFUGO.
-Uoteshaji wa Chakula mcha mifugo umependekezwa kutumia barle kwa sababu nyingi tu
1. Haina competition kati ya binadama na wanyama means binadamu hawaitumii
2. Ndo yenye nutrients zote zinazo hitajika kwa ajili ya mifugo.
3. Umeaji wake.
NGANO
Hapa ina maanisha unaweza walisha hata kuku wanyama na usiwapatie aina nyingine ya chakula, na vile vile kwa kuku wa mayai na kazalika, hakuna nafaka nyingine ambayo inaweza tumika peke yake bila kufanyiwa suplliment.
KUTUMIA ULEZI/MTAMA/MAHINDI
Haya unaweza tumia kama uinavyo wapatia kuku majani au mchicha kwa sababu yana levo yao mfano ya protein iko chini sana na huwezi wapatia kuku wa mayai au nyama ulezi haiwezekani.
Na hata kwa Ngano bado kuna vitu huwa vina misi ingawa na kwa kiwango kidogo sana na havina madhara yoyote yale.
SO BARLE NDO PEKEE INAYO WEZA LISHA WANYAMA BILA KUWAPATIA CHAKULA KINGINE CHOCHOTE KILE, ILA KWA NAFAKA ZINGINE NI LAZIMA UWE NA CHAKULA CHAO CHA KAWAIDA PEMBENI, MFANO UKIWALISHA ULEZI KUKU WA MAYAI NI LAZIMA RATIBA YA CHAKULA CHAO IWEPO KAMA KAWAIDA NA ULEZI/MTAMA UTAWAPATIA KAMA UNAVYO WAPATIA MBOGA ZA MAJANI/MCHICHA.
So watu wasije wakachanganya vitu hapo na sehemu kama Dar ni chalenge sana kuotesha Barle hasa wakati wa joto kwa kipindi hiki hakuna shida ila kwa kipindi cha joto kwa kweli ni kazi ngumu sana.
A recently introduced fodder growing technology is fast rising in the country, offering farmers year round supply of nutritious green fodder, grown for just eight days and producing up to 50 kgs of the fodder in a 20 by 10 feet space, enough to feed 20 mature cows or 120 goats all year round.Dubbed hydroponics technology for its ability to grow fodder and other crops without the soil, the project has been hailed as a revolutionary way of farming coming at a time when land is continually becoming limited thanks to population pressure and the ever rising cost of commercial feeds that is locking hundred of farmers from accessing the much needed feed.
Though having been in existence for the last 50 years in the world, the country is just warming up to the technology with majority of the over 2million livestock farmers yet to try it. The technology entails the germination of seeds in nutrient rich solutions instead of soil to produce a grass and root combination that is very high in nutrition.
When Peter Mwangi ventured into dairy farming two years ago, his biggest headache was the high prices of animal feeds. He had bought three Friesian cows for Sh300,000 and the high cost of feeds was quickly dashing his hopes of turning the dairy farm into a money spinner.
"I used to spend almost Sh60,000 monthly to buy commercial feeds from other dairy farmers. I did not have enough land to invest in livestock feeds," said Mr Mwangi.
After consultations and networking with experts, Mr Mwangi, 38, was introduced to a new technology of growing fodder crops that takes four days to mature.
"It's one and a half month since I was introduced to this new technology by a friend. My three cows have increased milk production. I now feed them with less commercial feeds hence saving on cost. The hydroponic technology is cheap to start and easy to run for every farmer," said Mr Mwangi.
He says milk production has increased by five litres every day per cow. Mr Mwangi says he now gets 40 litres of milk and makes about Sh180,000 a month.