Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Kuna mbolea ya HYDROPONIC FERTILIZER au HYDROPONIC nutrients ndo inayo tumika,

Hii mbolea inapatikana hapa Tanzania kweli mkuu.
Nakuomba kama inawezekana tuandikie hatua kwa hatua ili nianze hata kesho.
niko very serious mkuu. chasa
 
Last edited by a moderator:
Hii mbolea inapatikana hapa Tanzania kweli mkuu.
Nakuomba kama inawezekana tuandikie hatua kwa hatua ili nianze hata kesho.
niko very serious mkuu. chasa

Bongo si dhani, ila nitakuja baadae kuwaeleza jinsi ya kuipata mkuu huwezi anza tu, ni lazina kwanza ufanye maandalizi ya kutosha.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu si kila chombo kinafaa kuoteshewa na ni lazima chombo kisicho ruhusu kutu, au bacteria na gangasi ambao ni hatari sana kama wataingia kwenye hayo mazao.

Mkuu inachukua siku 9 kuweza kuwa imekamilika kwa ajili ya kuwapatia NG'OMBE na kwa kuku ni siku tatu inatosha kabisa.

Maji unakuwa unaongeza ila si mengi sana, ila kama unalima mazao ya muda kama nyanya ndo unakuwa unayabadilisha na si kuyabadilisha unaweza fanya resaiko,

HAYO MAJANI UNAYO YAONA HAPO NDO YAMEFIKIA KUTUMIKA SI KWAMBA NI MPAKA IKOMAE IKAUKE NO,

Sasa Mkuu ni Vifaa gani ambavyo haviruhusu Kutu kama badi au plastiki?
Au kuna dawa za kuweka humo ili chombo kisiwe na kutu?
 
Hizi kwa wenzetu zinafaa zaidi. Hata Kenya kupata Ardhi ni taabu sana.

Kwetu sisi hapa sidhani kama ni Economical au vp?
 
Hizi kwa wenzetu zinafaa zaidi. Hata Kenya kupata Ardhi ni taabu sana.

Kwetu sisi hapa sidhani kama ni Economical au vp?

Mkuu zinafaa mno hasa maeneo yenye shida ya maji, na gharama zake ziko chini ukikinganisha na kulima aridhini na kumbuka ndani ya siku 9 chakula fodder inakuwa tiyari kwa ajili ya kulisha,
 
Pia mwaweza kufungua youtube,"kilimo biashara"kuna maelezo kuntu.

Nimeitazama kwa ufupi Mkuu. Imesheheni. Pamoja na ukweli kuwa siwapendi Wakenya kihivyo, lazima nikiri kuwa wenzetu wako juu sana na kwa sababu ya blah blah zetu, vigumu kuwafikia. Wako juu hata kwa information sharing. Inawezekana baadhi ya mambo kama haya tunayo hapa hapa lakini tuna uzembe wa kuyaweka hadharani kwa faida ya wote!

Anyway, shukurani kwako, kwa Mleta Uzi na Wachangiaji wote! Ngoja tuifanyie kazi hii fursa!
 
Nimeharibu yangu kimagumashi nimewapa kuku. Nimetumia mfuniko wa ndoo, nashindwa kuatach picha na hiki kisimu. Kwa anayetaka kujifunza zaidi ingia home made hydrophonic fodder itakuletea namna ya kuchanganya hizo nutrients step by step kwa picha.

Pia kama unataka kununua technology unatembelea kilimo biashara kuna nambaza simu za wauzaji wa hii technology huko key.
 
Nimeharibu yangu kimagumashi nimewapa kuku. Nimetumia mfuniko wa ndoo, nashindwa kuatach picha na hiki kisimu. Kwa anayetaka kujifunza zaidi ingia home made hydrophonic fodder itakuletea namna ya kuchanganya hizo nutrients step by step kwa picha. Pia kama unataka kununua technology unatembelea kilimo biashara kuna nambaza simu za wauzaji wa hii technology huko key.

Touch Screen ni nzuri, lakini zina changamoto zake. Hata hivyo asante, naendelea kufuatilia hii teknolojia ili mradi haihusishi madawa na kemikali kwa kiwango cha juu!
 
Mkuu unaweza tumia simple materio ila ni lazima ziwe ambazo haziruhusu kutu au fangasi, kuna mbolea yake inayo itwa hydroponic nutrients, hii ina zile nutrients ambazo zinapatikana kwenye udongo.

Mkuu hizo mbolea zinapatika wapi? mfano hapa dar naweza kuzipata?
 
Back
Top Bottom