Hybrid cars

Mkuu kwani hizi hybrid zinatumia umeme pekee? Vipi hazina mfumo wa kujicharge zenyewe?
Shida hapa jukwaani kuna wengine wanaongea kwakusoma but mm naongea kama fundi ambaye nishawahi kutana na gari hizo .asilimia 80 ya garizinazo kuja bongo hazina PLUG IN mfumo wakujichaji wenyewe..na gari ikiisha chaji ndio msiba huanzia hapo coz kuchaji nimtihani .hapa tanzania hakuna chaji TOYOTA hawana chaji ya plug in au chaji ya kuchajia betri.

Gari inakuwa na plate 30 sawa na betri 30.plate/pack nisawa. Na betri.1 kila betri/pack 1 ina volt 9.2 fanya mara 30..umeme huo niwa betri pekee yake bado unaingia kwenye converter na kukuzwa tena then ndio utumike. Yaani bora ukaguza umeme watanesco lkn sio huo.


Kibaya ni kuwa gari kuwaka lazima utumie mfumo wa high voltage..

Tofauti kubwa ipo kwenye gearbox tuu basi lkn engine ndio zilezile sema kwenye engine kuna vitu kama v3 hivi ndio huwa tofauti..coz huwa tukiibadili. Gari ya HV kuwa ya kawaida huwa unatumia engine ile ile but unabadili front cover pulley ya crankshaft unafunga alternate compressor starter flywheel basi na sterling power..

Kama mtu anahitaji gearbox ipo ya HV betri zipo motor ya nyuma.n.k
 
Si ukiuziwa wanakupa charge pia kma cm
No hapana.hapa inatakiwa kufaham hizi gari zipo za aina mbili zinazotumia umeme tuuu. Na zipo zinazotumia umeme na mafuta.

Sasa kwenye zinazotumia umeme na mafuta zipo za aina mbili zenye plug IN na zisizo plug in.

Shida bongo zinafika zisizokuwa na plug in.namaanisha kuwa hazina mahali pa kuchomeka waya wa kuchajia..yaani ukifika petrol station kuchukua cable na kuchomeka kwa mda
 
hizo gari kwa inchi ziliziondelea kama huku europ zinatumika sana kwa wakazi wa mjini coz town zipo station zak zaku charge pia kwenye baz ya office unakuta zipo charg na kwenye stadium pia so kwa TZ naona italeta changamoto kwenye spare na station of charge
 
Kwa tanzania mm ningekuwa na pesa ningeanzisha Kampun ya usafirishaji like uber na kutengeneza vituko kadhaa vyakuchaji hapa mjini na workshop yakuzitengeneza ..bei inakuwa chee.
 
Kwa tanzania mm ningekuwa na pesa ningeanzisha Kampun ya usafirishaji like uber na kutengeneza vituko kadhaa vyakuchaji hapa mjini na workshop yakuzitengeneza ..bei inakuwa chee.
Ungepigwa vita na wenye vituo vya kuuza mafuta mpk ungeshangaa boss.

Pale mwz kuna mama ya kijerumani aliwauzia wavuvi taa za solar nzuri kwa ajili ya kuvulia samaki,aisee wenye vituo vya mafuta wamefanya yao mpk zile taa zimepigwa marufuku aisee.

Biashara ni vita mkuu,jipange.
 
Hapa mjini mbona zipo nyingi tu ambazo zinatumia mafuta na umeme, nishawahi kuiona ya mzee wangu mmoja aina ya harrier ilikuwa inatumia umeme na mafuta yaani kuna kifaa kilikuwa kinachaji betri , so gari inakimbia ikifika kwenye spidi flani injini inajizima gari inakuwa inatumia umeme tuu, kwa mafuta ya full tank gari ilikuwa ina uwezo wa kufika Bukoba na mafuta yakabaki kidogo
 
Shida hapa jukwaani kuna wengine wanaongea kwakusoma but mm naongea kama fundi ambaye nishawahi kutana na gari hizo .asilimia 80 ya garizinazo kuja bongo hazina PLUG IN mfumo wakujichaji wenyewe..na gari ikiisha chaji ndio msiba huanzia hapo coz kuchaji nimtihani .hapa tanzania hakuna chaji TOYOTA hawana chaji ya plug in au chaji ya kuchajia betri.

Gari inakuwa na plate 30 sawa na betri 30.plate/pack nisawa. Na betri.1 kila betri/pack 1 ina volt 9.2 fanya mara 30..umeme huo niwa betri pekee yake bado unaingia kwenye converter na kukuzwa tena then ndio utumike. Yaani bora ukaguza umeme watanesco lkn sio huo.


Kibaya ni kuwa gari kuwaka lazima utumie mfumo wa high voltage..

Tofauti kubwa ipo kwenye gearbox tuu basi lkn engine ndio zilezile sema kwenye engine kuna vitu kama v3 hivi ndio huwa tofauti..coz huwa tukiibadili. Gari ya HV kuwa ya kawaida huwa unatumia engine ile ile but unabadili front cover pulley ya crankshaft unafunga alternate compressor starter flywheel basi na sterling power..

Kama mtu anahitaji gearbox ipo ya HV betri zipo motor ya nyuma.n.k
gari gani mlifungua hiyo and inatumia battery za zaina gani??
 
hybrid huwa zinajichaji zenyewe ni tofauti na EV so ikiwa down ita sense then engine itawaka hata ukiwa na speed ndogo
Si kweli, sio hybrid zote zinajicharge zenyewe, ni zile tu ambazo ni Plug in hybrid, lakini normal hybrid lazima ukazicharge kwenye vituo vya kuchajia.
 
Shida zote hizi ni za nini si ununue gari yenye CC ndogo tu kama unaona CC 2000 na kuendelea ni tatizo
 
Si kweli, sio hybrid zote zinajicharge zenyewe, ni zile tu ambazo ni Plug in hybrid, lakini normal hybrid lazima ukazicharge kwenye vituo vya kuchajia.


ndo nini sa umeandika?? normal hybrid ndo zinachajiwa kwa vituo vya kuchajiwa ila plug in hybrid zinanichaji zenyewe?? em nenda uje tena na Maelezo yanayoeleweka
 
Nadhani hata nchi zilizoendelea wanaotumia electric cars ni watu wachache sana ...Je, uzalishaji wa umeme, utengenezaji wa betri za haya magari n.k; haviharibu mazingira?
 
Back
Top Bottom