Nadhani walimuona huyu hapa ndo wakakimbia;View attachment 36573Hvi majuzi nilikuwa navinjari maeneo fulan town.mara majaama wa chadema wakakatiza kombat zao wamachinga kuona vile waakaanza kutimua mbio wakijua ni mgambo.hlo vazi linatisha kama vile vita bwana!?
Kumbe hizo gwanda wamekopi na kupesti?Kwa vazi hili chadema wanafuata msimamo wa nyerere kwa vitendo. Katika shughuli rasmi za kijamii mwalimu nyerere alitinga vazi hilo. Magamba mpooooooooo!!!!!!!
<br />Hvi majuzi nilikuwa navinjari maeneo fulan town.mara majaama wa chadema wakakatiza kombat zao wamachinga kuona vile waakaanza kutimua mbio wakijua ni mgambo.hlo vazi linatisha kama vile vita bwana!?
<br />haya picha hizo wadau .hili vazi kwa sasa linaheshimika sana.....siku hizi hakuna mda wa kununua suti...piga combati usave pesa
<br />Kumbe hizo gwanda wamekopi na kupesti?
naona hapa kicheche kimeliwa na kuku!Sio laana bali ni uendawazimu.MIMI NI MWANA CDM LAKINI HUWEZINIKUTA NIMEVAA SARE ZA MGAMBO.KATI YA MAMBO YANAYOTUTIA DOA NI HILI LA MAGWANDA,HADI TUNAITWA MAJINA MABAYA YA 'MAGWANDA'.