Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,147
- 159,069
Uh!!! Una lako jambo wewe, kwaheri.We unajua nn juu ya dhambi za mwenzio?
au ukweli na uhalisia manake nn?
Uh!!! Una lako jambo wewe, kwaheri.We unajua nn juu ya dhambi za mwenzio?
au ukweli na uhalisia manake nn?
haya! huo ulkua mtizamo wangu tu kama wengne walivyotizama hilo andiko, samahan kama kukinzana kwangu na mtizamo wako kumekukwaza kiainaUh!!! Una lako jambo wewe, kwaheri.