HUZUNI KUU KYELA: Bye Bye Harrison Mwakyembe

HUZUNI KUU KYELA: Bye Bye Harrison Mwakyembe

Dah! Ni afadhali usikie tu, usione, hali ni tete Kyela. Nimeona mwenyewe. Mwakiyembe hatakiwi kabisa!
 
Hivi huyu jamaa atafunguka ln kuhusu kiporo kichobakia kuhusu richmond?
 
Haya mambo ni ya ajabu sana, tulisikia habari za kutokutakiwa kwake lakini tukashangaa sana kuwa alipita kwenye kura za maoni, inamaana hatakiwi na nani? na walio nje ya CCM?
 
Jaribuni kumpa mdahalo yeye na Sitta juu ya Richmond, huenda wakapata tena KICK. Sijawahi kusikia katika dunia hii kuwa wanasheria tena mwingine ana PhZ ya sheria wanaomba mdahalo na mtu aliyetenda kosa la JINAI. Only in Tanzania this Sh..t happens. Mwenzake Sitta has nothing to lose maana jimboni kwake walishamchoka already.
 
MATOKEO KURA ZA MAONI CCM KYELA

HARRISON MWAKYEMBE 15,000

GEORGE MWAKALINGA 4,000 mtu umezungukwa mara tatu bado unachafua watu, hii mijitu kama mwakalinga ni yakunyonga kabisa hadi kufa maana haijui maana ya demokrasia, na akagombee kupitia ukawa anagalagalazwa asubuhi tu


Nyie yenu maneno mwenzetu kazi.​


 
Abraham Mwanyamaki ndio habari ya Kyela kwa sasa. Huyo Mwakyembe watu wameshamfutilia mbali long time.
 
muda ni utajiri

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lenu watu wa Kyela ni kukosa maono ya mambo ya miaka kumi baadaye.
Sad!
 
Tatizo lenu watu wa Kyela ni kukosa maono ya mambo ya miaka kumi baadaye.
Sad!
Ujinga ni kujumuisha watu wote hakika unafikra mgando kwaiyo Kyela wote wanamtizamo sawa elimu yako dini sana hata kufikiri pia

KANISA LA KRISTO
 
Ujinga ni kujumuisha watu wote hakika unafikra mgando kwaiyo Kyela wote wanamtizamo sawa elimu yako dini sana hata kufikiri pia

KANISA LA KRISTO
Rejea kichwa cha habari na ujitanabahishe.
Ati " alile kako!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom