HUZUNI KUU KYELA: Bye Bye Harrison Mwakyembe

Wakuu. Hali ni mbaya kupita maelezo juu ya halo ya kisiasa ya Ndugu Mwakyembe jimboni Kyela. Anazomewa kila sehemu. Si vijana si akina so wazee wote wanamzoea kila apitapo. Wazee walimshauri asogombee na wakamuleza ukweli kuwa hali ni mbaya mitaani juu yake lakini akawaomba kuwa "niacheni nijaribu". Hali hiyo imepelekea Mwakyembe kukimbia jimbo na kujifcha Mbeya mjini ambapo Sugu anabebwa kama mfalme. Watu wametabiri aibu ya Marne juu ya mwakyembe... Hakanyagi tena jimboni kuanzia juzi na mpaka viongoz wa CCM wilaya wanamsusia kwenye sapoti ya kampeni. Bye bye mwakyembe


wananchi wa Kyela wameshamjua mchawi wao
 
Wakuu. Hali ni mbaya kupita maelezo juu ya halo ya kisiasa ya Ndugu Mwakyembe jimboni Kyela. Anazomewa kila sehemu. Si vijana si akina so wazee wote wanamzoea kila apitapo. Wazee walimshauri asogombee na wakamuleza ukweli kuwa hali ni mbaya mitaani juu yake lakini akawaomba kuwa "niacheni nijaribu". Hali hiyo imepelekea Mwakyembe kukimbia jimbo na kujifcha Mbeya mjini ambapo Sugu anabebwa kama mfalme. Watu wametabiri aibu ya Marne juu ya mwakyembe... Hakanyagi tena jimboni kuanzia juzi na mpaka viongoz wa CCM wilaya wanamsusia kwenye sapoti ya kampeni. Bye bye mwakyembe

Kama Kuandika tu Karne Kunakushinda Unaweza kweli Kuviaminisha Vichwa vya Jamii forum? Dah Nyie ndio Mnashusha hadhi ya jukwaa... Eti hata huyu ni Great thinker!!!!""
 
Inasemekana hapajapata kuwepo waziri fisadi na mwizi kama huyu, mkuu mwenyewe alimuogopa akambadilisha wizara
 
Mfukuzeni arudi DAR anakoishi ndio agombee.
  1. ikumbukwe mwaka 1994-2005 kyela ilikua haijui umeme unakatikaje lakini leo watoto wa kyela mjini waliozaliwa tangu mwaka 2006 hawaujui umeme, mgao mgao usiokoma loh!!!!
  2. Barabara za mitaa ni vumbiii yaani ukitaka kutoka inabidi ubebe ndoo ya maji ya kunawa uendako, mfano: itunge-NMB, MBUGANI-NMB- barabara ya posta.
  3. Ikumbukwe barabara kuu ya kwenda boda alijenga mwakipesile.
  4. Ujinga mwingine ni kujenga dispensary ndani ya hospital wakati vijijini hakuna vituo vya afya vyakutoisha.
muondoeni kabisaaaaa.
 
Mfukuzeni arudi DAR anakoishi ndio agombee.
  1. ikumbukwe mwaka 1994-2005 kyela ilikua haijui umeme unakatikaje lakini leo watoto wa kyela mjini waliozaliwa tangu mwaka 2006 hawaujui umeme, mgao mgao usiokoma loh!!!!
  2. Barabara za mitaa ni vumbiii yaani ukitaka kutoka inabidi ubebe ndoo ya maji ya kunawa uendako, mfano: itunge-NMB, MBUGANI-NMB- barabara ya posta.
  3. Ikumbukwe barabara kuu ya kwenda boda alijenga mwakipesile.
  4. Ujinga mwingine ni kujenga dispensary ndani ya hospital wakati vijijini hakuna vituo vya afya vyakutoisha.
muondoeni kabisaaaaa.

LAKINI MDA MREFU SI ALIKUA iNDIA ALIPOLOGWA NA EL-NINO SASA HAKUKUA NA NAMNA -ALIPOPONA AKAWA WAZIRI HAKUNA NAMNA NYINGINE -AISEE NTAKUAFUTA LADY
 
LAKINI MDA MREFU SI ALIKUA iNDIA ALIPOLOGWA NA EL-NINO SASA HAKUKUA NA NAMNA -ALIPOPONA AKAWA WAZIRI HAKUNA NAMNA NYINGINE -AISEE NTAKUAFUTA LADY

Alilogwa na nani??? India amekaa muda gani!?? MWAKYEMBE alikua akija kyela anajifanya kuwasimamisha wa bodaboda anajifanya anachukua matatizo yao then anakimbilia Dar, alipewa nafasi hajatumia,

Maana hata shule za kata ni kazi ya Lowasa, Itope, kyela day, ipinda na Matema kazi ya mwakipesile sasa yeye aseme amefanya nin??

Kangi amyeke abhandu bhakatele.
 
Mwakyembe jembe wewe, tatizo ni kwamba mitandao imewapa Uhuru Wa kusema mtakavyo ila kuanzia sept 1, kesho kutwa tutaheshimiana hapa mjini!

Ile sheria kama umeisoma vizuri, hsizuii watu kutoa mawazo yao kwenye mitandao, Bali inakataza kutoa taarifa za siri kwa wasiohusika, na kutumia VIBAYA mitandao.
 
hivi wewe jamaa huwa unaamini kitu gani ? we si unakaa kimanzichana haya mambo ya kyela utayajulia wapi ?
mheshimiwa erythrocyte ikatokea Ukamuliza Mbowe leo fisadi ni nini, nyoka wa makengeza ni yupi, Rostamu ulishawahi kumsikia? Atakujibu ni misamiati na majina magumu mno, ambayo hata kwenye kamusi za lugha zote hapa duniani na mbinguni huwezi ya pata
 
Wakuu. Hali ni mbaya kupita maelezo juu ya halo ya kisiasa ya Ndugu Mwakyembe jimboni Kyela. Anazomewa kila sehemu. Si vijana si akina so wazee wote wanamzoea kila apitapo. Wazee walimshauri asogombee na wakamuleza ukweli kuwa hali ni mbaya mitaani juu yake lakini akawaomba kuwa "niacheni nijaribu". Hali hiyo imepelekea Mwakyembe kukimbia jimbo na kujifcha Mbeya mjini ambapo Sugu anabebwa kama mfalme. Watu wametabiri aibu ya Marne juu ya mwakyembe... Hakanyagi tena jimboni kuanzia juzi na mpaka viongoz wa CCM wilaya wanamsusia kwenye sapoti ya kampeni. Bye bye mwakyembe

acheni kujifariji subirini 25 October ndio mzungumze
 
IMG_0373.JPG

IMG_0349.JPG

3.jpg

IMG_0304.JPG

MATOKEO KURA ZA MAONI CCM KYELA

HARRISON MWAKYEMBE 15,000

GEORGE MWAKALINGA 4,000

Nyie yenu maneno mwenzetu kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom