Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,684
- 6,409
Ana 36yrs ila hana mtoto mwezi uliopita alishika mimba, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa tumbo linamuuma jioni akaona hedhi.
Akawa na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr na ameambiwa arudi after 7 days.
Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair kaka hayupo kaaga anaenda kukutana na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa na mipira ya Ulaya.
Akawa na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr na ameambiwa arudi after 7 days.
Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair kaka hayupo kaaga anaenda kukutana na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa na mipira ya Ulaya.


