Huyu wifi yangu simuelewi?

Huyu wifi yangu simuelewi?

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,684
Reaction score
6,409
Ana 36yrs ila hana mtoto mwezi uliopita alishika mimba, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa tumbo linamuuma jioni akaona hedhi.

Akawa na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr na ameambiwa arudi after 7 days.

Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair kaka hayupo kaaga anaenda kukutana na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa na mipira ya Ulaya.
 
Ana 36yrs Ila hana mtoto. Last month Ali conceive, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa yu aumwa tumbo, jioni akaona hedhi. Akawa Na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr Na ameambiwa arudi after 7 days.
Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair. Kaka hayupo kaaga anaenda kukutana Na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa Na mipira ya Ulaya.
wewe unatafuta nini kwa kaka ako? nyie ndo mnavunjaga ndoa za watu
 
Mkuu unataka sisi tukushauri nini au unataka sisi tusemaje kutokana na hayo maelezo nipo tayari kutoa ushauri
 
So what? Kamsemee huyo wifi kuwa ametelekeza mtoto
 
Huna la kufanya hadi ushinde kutwa kumchunga wifi yako?Sasa hivi utakuwa dirishani unaangalia nje kwa huzuni.Lala!
 
Kaka yako alimuoa kwa ndoa na alipata kitchen party?
 
Ana 36yrs Ila hana mtoto. Last month Ali conceive, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa yu aumwa tumbo, jioni akaona hedhi. Akawa Na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr Na ameambiwa arudi after 7 days.
Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair. Kaka hayupo kaaga anaenda kukutana Na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa Na mipira ya Ulaya.
Tutakushauri wala usijali.
Tuambie kwanza una umri gani?
Unaishi wapi na nani? Kwa muda gani unaishi hapo?
Haya tuanzie hapo na hivyo vimaswali.
 
Mh! Luga gongana ft kidigo kibondei kisambaa aisee tanga rahaa nmetoka kapa
 
hivi mdogo wangu.....kweli hii ndo kazi yako......sasa nimejua ndo maana hakupendi.....ungejua jinsi napambana usiondoke kumbe wewe ndo mvugaji....!! safari ya kurudi moshi imewadia....mapemaaaaa,,,mamako nshamjulisha.......kanga viza wewe........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom