Aache wivuHana hata uwakika kama wifi anakulwa huko kwa jirani







kawa mtoto sasaNyau mkubwa wewe! hicho ndo kilikupeleka kwa kaka yako? Nyie ndo mnavunja ndoa za watu.Ana 36yrs ila hana mtoto mwezi uliopita alishika mimba, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa tumbo linamuuma jioni akaona hedhi.
Akawa na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr na ameambiwa arudi after 7 days.
Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair kaka hayupo kaaga anaenda kukutana na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa na mipira ya Ulaya.



Yale yale ndo za siku hizi....hii imedumu siku au miaka mingapi...maana kuna thread matata imetreandAna 36yrs ila hana mtoto mwezi uliopita alishika mimba, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa tumbo linamuuma jioni akaona hedhi.
Akawa na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr na ameambiwa arudi after 7 days.
Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair kaka hayupo kaaga anaenda kukutana na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa na mipira ya Ulaya.
Mavi yako