Huyu wifi yangu simuelewi?

Huyu wifi yangu simuelewi?

hivi mdogo wangu.....kweli hii ndo kazi yako......sasa nimejua ndo maana hakupendi.....ungejua jinsi napambana usiondoke kumbe wewe ndo mvugaji....!! safari ya kurudi moshi imewadia....mapemaaaaa,,,mamako nshamjulisha.......kanga viza wewe........
 
Aiseee nyie wapuuzi kuna mwenzio hapa
Namsubiria siku cha Arusha kipande nimpe kichambo kitakatifu

Kama unaona anafaidi olewa wewe
 
Mshauri tu..
Sawa maa

Aondoke kwa kakaake, kama anauwezo wa kuchanganua mema na mabaya ya wifi yake alipaswa kuwa kwake, aachane na ndoa ya kakaake.
Huo uchunguzi akamfanyie mumewe sio wifi yake, hata hivyo hana mamlaka hayo kwenye nyumba za watu, afanye kilichompeleka aondoke haraka sana ndoa zina mambo mengi mno sio jukumu lake kumuelewa wifiyake mwenye jukumu la kumuelewa huyo bibie ni mumewe.
Mawifi bwana huwa tunakosea sana aiseeh.
 
Sawa maa

Aondoke kwa kakaake, kama anauwezo wa kuchanganua mema na mabaya ya wifi yake alipaswa kuwa kwake, aachane na ndoa ya kakaake.
Huo uchunguzi akamfanyie mumewe sio wifi yake, hata hivyo hana mamlaka hayo kwenye nyumba za watu, afanye kilichompeleka aondoke haraka sana ndoa zina mambo mengi mno sio jukumu lake kumuelewa wifiyake mwenye jukumu la kumuelewa huyo bibie ni mumewe.
Mawifi bwana huwa tunakosea sana aiseeh.
Ushauri mzuri, maana anaweza haribu ndoa ya kaka yake kwa ufukunyuzi wake.
 
Ana 36yrs ila hana mtoto mwezi uliopita alishika mimba, Jana akawa analalamika tangu asubuhi kuwa tumbo linamuuma jioni akaona hedhi.

Akawa na hofu kuwa huenda ameharibu mimba, Leo asubuhi akaenda kwa dr na ameambiwa arudi after 7 days.

Muda huu hayupo nyumbani yupo nyumba ya pili kuwapa company makaka wa rafiki zake, is this fair kaka hayupo kaaga anaenda kukutana na wenzake atachelewa kurudi kutakuwa na mipira ya Ulaya.
Wewe umeolewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom