Huyu wife na mimba yake anakera.

Huyu wife na mimba yake anakera.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Jamani wife ana kibendi sasa amezidi matatizo kila siku yeye anataka maembe,limao, mahindi na chipsi ndo vyakula vyake vikuu, na hataki chakula kingine kama ugali na wali, kwenda kazi hataki anataka eti muda wote tukae tuuu funga hataki nioge eti anataka nishinde bila kuoga hata nikitoka kazini no kuoga nalala hivyo hivyo eti anapenda harufu yangu si kutesana huko.
Hivi kweli ni mimba au hawa wanawake wanatukomoa.
 
Na bado...... but vumilia wakati mnatunga hiyo mimba si wote mlipata utamu isitoshe mtoto atakuwa wa kwako wewe baba
Jamani wife ana kibendi
sasa amezidi matatizo kila siku yeye anataka maembe,limao, mahindi na
chipsi ndo vyakula vyake vikuu, na hataki chakula kingine kama ugali na
wali, kwenda kazi hataki anataka eti muda wote tukae tuuu funga hataki
nioge eti anataka nishinde bila kuoga hata nikitoka kazini no kuoga
nalala hivyo hivyo eti anapenda harufu yangu si kutesana huko.
Hivi kweli ni mimba au hawa wanawake wanatukomoa.
 
asipodeka kwako adeke kwa nani?mvumilie tu hayo ya mpito
 
Weeee naweee....hizo ndio umeona shida?

Utamu wa kuwa baba unaanzia hapo kama hutaki kukubali hayo kanunue midoli dukani...
 
Duu kisukari mama umenimaliza nitakupa Benz langu nimepaki tu ndani
 
Anapenda mahindi lakin hataki ugali...hapendi uende kazini lakini anataka chipsi, hapendi uoge lakin anataka ulale na majasho,..Itafikia kipindi atakwambia uingie labour badala yake..aaaahh jokes wataalam watakuja down hapo..
 
Furahia anataka ukaribu na wewe. Wengie hua wanalazwa sebuleni kwa miezi tisa.

Kama hutaki akudekee mtafutie wa kukusaidia.
 
Lizzy upo mamii, its longtime mum. Ile hadithi yetu iliishiaga wapi?
Furahia anataka ukaribu na wewe. Wengie hua wanalazwa sebuleni kwa miezi tisa.

Kama hutaki akudekee mtafutie wa kukusaidia.
 
Jamani wife ana kibendi sasa amezidi matatizo kila siku yeye anataka maembe,limao, mahindi na chipsi ndo vyakula vyake vikuu, na hataki chakula kingine kama ugali na wali, kwenda kazi hataki anataka eti muda wote tukae tuuu funga hataki nioge eti anataka nishinde bila kuoga hata nikitoka kazini no kuoga nalala hivyo hivyo eti anapenda harufu yangu si kutesana huko.
Hivi kweli ni mimba au hawa wanawake wanatukomoa.

Hata wewe ungebeba yawezekana ungekuwa zaidi
 
Mambo ya kawaida hayo kwa hao wenzetu, wakifikia stage hiyo huwa wana masharti lukuki kama mbolea ya mboji mboji...
 
Mvumilie tu ni mapito ila sometyme ni ngumu kujua kama yupo serius au anatania
 
Hapo utabiri wangu itakua labda ni mtoto wa kike ndo maana haikupendi,
Samahani lakini hayo ni mawazo utabiri tu
 
Mpe houseboy majukumu yako mbona atapafomu well tu mkuu.
 
Acha huyo mke wa jamaa yangu alipokua na kibendi alikua hataki chakula kingine ugali na maharage hadi jamaa karudi kula magengeni mwanamke hataki kupika kitu kingine, vumilia.
 
Back
Top Bottom