tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Vumilia ndo mimba hiyo na tabia zake.
Weeee naweee....hizo ndio umeona shida?
Utamu wa kuwa baba unaanzia hapo kama hutaki kukubali hayo kanunue midoli dukani...
Jamani wife ana kibendi sasa amezidi matatizo kila siku yeye anataka maembe,limao, mahindi na chipsi ndo vyakula vyake vikuu, na hataki chakula kingine kama ugali na wali, kwenda kazi hataki anataka eti muda wote tukae tuuu funga hataki nioge eti anataka nishinde bila kuoga hata nikitoka kazini no kuoga nalala hivyo hivyo eti anapenda harufu yangu si kutesana huko.
Hivi kweli ni mimba au hawa wanawake wanatukomoa.
Ni mke wako kweli mliyeapizana kwa shida na raha? Au wale wa karibu mgeni tukae?
Au kile kiapo kilikuwa kama ukamilisho tu au kama desa unalokariri na mtihani ukimalizika hukumbuki ulisoma nini!
Acha hizo Bwana kuna mimba zingine zinapenda kunusa t.a.k.o , Mzee mzima unashindia msuli tu ! Chezeya mimba weye !
asipodeka kwako adeke kwa nani?mvumilie tu hayo ya mpito
Wife na mimba yake au wife na mimba yetu?
Jamani wife ana kibendi sasa amezidi matatizo kila siku yeye anataka maembe,limao, mahindi na chipsi ndo vyakula vyake vikuu, na hataki chakula kingine kama ugali na wali, kwenda kazi hataki anataka eti muda wote tukae tuuu funga hataki nioge eti anataka nishinde bila kuoga hata nikitoka kazini no kuoga nalala hivyo hivyo eti anapenda harufu yangu si kutesana huko.
Hivi kweli ni mimba au hawa wanawake wanatukomoa.
jamani wife ana kibendi sasa amezidi matatizo kila siku yeye anataka maembe,limao, mahindi na chipsi ndo vyakula vyake vikuu, na hataki chakula kingine kama ugali na wali, kwenda kazi hataki anataka eti muda wote tukae tuuu funga hataki nioge eti anataka nishinde bila kuoga hata nikitoka kazini no kuoga nalala hivyo hivyo eti anapenda harufu yangu si kutesana huko.
Hivi kweli ni mimba au hawa wanawake wanatukomoa.
mimba yake!!!!!!
mmmh!ngoja nimkimbilie utingo anipe begi langu lisije kuwa lake bure!!Nani kabeba mimba?