polisi wa zambia
Member
- Aug 17, 2016
- 29
- 18
Mozambique
Anafaa kupewa Zawadi, anajituma vizuri bila kujali mazingira ya kazi.Huyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa! View attachment 425532
Inaonyesha gari na speed unayotembea nayo muda huo, mwenye picha ya lile basi liliopata ajali miezi michache iliyopita anaweza kuiweka hapa. lilikua liko 120km/hr na muda mchache baadae ndio waligongana uso kwa uso na mwenzieHii mitindo ya kukupiga picha na kuwatumia wenzake mbele huwa mara nyingi inakosa uthibitisho kabisa, mimi huwa nauliza una uthibitisho gani zaidi ya picha kuwa nimepita kwenye speed limit wakati picha haionyeshi alama yeyote, naomba ambaye ameshapelekwa mahakamani atoe ushuhuda hakimu aliamua vipi kwa ushahidi wa picha peke yake
Hapana, hapo kuna mikonge/Katani hii itakua Bara bara ya Morogoro au Tanga ndio kuna mkongeHapa itakuwa Kibamba darajani
MANI zumbemkuu lusungo BAKSasa mkoba na viatu vya kike vipi? Au huwa wanakuwa zamu wawili wawili?
Hii mitindo ya kukupiga picha na kuwatumia wenzake mbele huwa mara nyingi inakosa uthibitisho kabisa, mimi huwa nauliza una uthibitisho gani zaidi ya picha kuwa nimepita kwenye speed limit wakati picha haionyeshi alama yeyote, naomba ambaye ameshapelekwa mahakamani atoe ushuhuda hakimu aliamua vipi kwa ushahidi wa picha peke yake
Huu ni uchochezi, sheria ya mitandao ya "karne" ya 2016 inakubanaKupanda cheo bila elimu
Usiku hakai hapo hata kwa dawa... hivi akikalia siafu hapo itakuaje? Maana siafu bhana hakuumi huku ambako utamuona, atapanda kimya kimya hadi afike zile sehemu laini, zenye joto kidogo. Pale unapokua umetulia kabisa ndio anakushtua.Ha ha ha ha nimecheka sana, dawa yao ni kusafiri usiku