Huyu Traffic hajipendi, aache Sifa!!

Huyu Traffic hajipendi, aache Sifa!!

Hawa wanazaidi ya sifa huwa wanasoma kilomita unazotembea wanakula vichwa sana kwa madereva wa mabasi mikoani,njia ya kwenda Mwanza ndo wapo wengi sana
 
hapo ni sehemu wanaangaliaa speed akishapata gari lililozid anawaambia matrafik wapo mbele kamata gar fulan
 
Wanapandaga mpaka juu ya miti hao ila bahati nzuri ukiwa na kauli nzuri mnamalizana kibingwa kila mmoja anafrahi.
 
Hiyo ni haphapa Dar.huwa nawashangaa hawa jamaa,sehemu nyingine wanapanda mpaka juu ya miti.
 
Usipofanya Kama anavyofanya utaishia kupelekwa FFU! Yaani wanapewa hesabu ya kuwakilisha kabisa, na gari za kupeleka kituoni kwa siku!
 
Alafu wewe ukampiga picha traffic mwenzio nakuja kumwanika huku JF kwann lakini?
 
Huo upuzi wanafanya trafic wa tz,kuvizia watu kwa kujificha na camera kisha anawapigia simu wenzake mbele.

Mm binafsi hua silipi hiyo faini ya kuviziana,tutazinguana mpk basi na hua nawambia nipelekeni mahakamani,kisha hua wananitema wenyewe.
 
mbona mimi naona ni kama mtu na mpenzi wake walikuwa wamepumzika tu hapo...
hapo kuna viatu vya kike, mkoba na kitenge hicho jamaa kakalia😀😀😀
 
Hii ndio inatakiwa watu wajifunze kutii sheria bila shuruti, kuna kale kamtindo tukiona traffic ana tochi tunaanza kuwashiana taa. kwa njia hii mtu akiona tu kibao lazima afuate sheria. Hii ndo njia pekee ya kupunguza ajali.
 
Back
Top Bottom