Huyu Traffic hajipendi, aache Sifa!!

Huyu Traffic hajipendi, aache Sifa!!

mkuu kama umebahatika kupita Kilwa road unaenda mkuranga huko hawa jamaa ndivyo wanavyofanya. Wanajificha kwenye vichaka au wanakaa kilimani wanakupiga tochi halafu wanawasiliana na wale walioko pale mzani mkuranga ukifika hapo unakuta wameshakuandikia na risiti ukibisha wanakwambia turudi mahali uone kwenye kamera Tanzania kuna maajabu.
Huku vichakani watakuja kutulambia wake zetu tu ambao ni Askari pia. Kwa mfano kile kikoi alichotandika pale, katoka nacho kweli nyumbani au ni cha traffic mwenzie? Maana pale kando kuna pochi pia ya Kike. Traffic wawili wa jinsia mbili kichakani eti wanakamata Magari...Hahahahaha shetani yupo.
 
Mkuu umeleta wazo jipya kabisa. Hawa watu wanatakiwa mfumo uwe connected hadi makao makuu. Sema tu nchi yetu changa, nchi za watu CCTV Camera itakumulika na mwisho wa mwez unachukua bill yako. Hizo zimefungwa barabara zote, tena hadi zile zinazounganisha Jimbo na jimbo yaani highway, kote kuna Camera
Unaweza lipa faini kwa mpesa, utaratibu ni huu:

1. *150*00#
2. Chagua namba 4 (Lipa kwa Mpesa)
3. Chagua namba 3 (Chagua kwenye orodha)
4. Chagua namba 3 (TRA & Penalties)
5. Chagua namba 3 (Police Tanzania {TPF}
6. Unachagua aina ya kosa.

Ukishamaliza mrushie trafik sms ya mwamala naye atauandika kwenye hiyo notification.
 
Huku vichakani watakuja kutulambia wake zetu tu ambao ni Askari pia. Kwa mfano kile kikoi alichotandika pale, katoka nacho kweli nyumbani au ni cha traffic mwenzie? Maana pale kando kuna pochi pia ya Kike. Traffic wawili wa jinsia mbili kichakani eti wanakamata Magari...Hahahahaha shetani yupo.
aisee kweli!
 
Hahahah Watu wanajipendekeza kwenye kazi "huko kinaitwa kuingilia majukumu ya watalii hao ndo wananing'inia porini kupiga picha simba"
 
Hahahah Watu wanajipendekeza kwenye kazi "huko kinaitwa kuingilia majukumu ya watalii hao ndo wananing'inia porini kupiga picha simba"
1477726982227.jpg
Hahahahahahahaaaaa
 
Back
Top Bottom