Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Uchochezi gani hapo nmeufanya kwanza una uhakika gani kama huyo ni askari wa Tz?Huu ni uchochezi, sheria ya mitandao ya "karne" ya 2016 inakubana
Uchochezi gani hapo nmeufanya kwanza una uhakika gani kama huyo ni askari wa Tz?Huu ni uchochezi, sheria ya mitandao ya "karne" ya 2016 inakubana
Hahahhahaha usaijali Mpwa nataniaUchochezi gani hapo nmeufanya kwanza una uhakika gani kama huyo ni askari wa Tz?
Inabidi madereva kuanzia sas pia tuhoji ionekane kwa pamoja picha ya Speed Limit na gari. Kwa sababu huko barabara kuu dhuluma ni nyingi mno. Ili mtu apewe adhabu kwa kosa alilofanya, inatakiwa iwe clear kila mmoja aone gari, speed na Kibao cha speed limit kwenye picha. Kwa mazingira kama hayo ya jamaa kujificha inaonyesha ni kuviziana katika utendaji. Its too shameHii mitindo ya kukupiga picha na kuwatumia wenzake mbele huwa mara nyingi inakosa uthibitisho kabisa, mimi huwa nauliza una uthibitisho gani zaidi ya picha kuwa nimepita kwenye speed limit wakati picha haionyeshi alama yeyote, naomba ambaye ameshapelekwa mahakamani atoe ushuhuda hakimu aliamua vipi kwa ushahidi wa picha peke yake
Mpwa kuna wengine ukishuka wami wanapanda juu ya miti wanakupiga picha ukifika msata mizani unakumbana na msala.Huyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa! View attachment 425532
Hao wana hatari ya kuvunjika viuno!Mpwa kuna wengine ukishuka wami wanapanda juu ya miti wanakupiga picha ukifika msata mizani unakumbana na msala.
Wacha yaani hivi sasa makosa yanatafutwa kwa nguvu sioni logic ya kukamata mtu wami kwani kama ni private car ni wewe tu lakini sivyo.Hao wana hatari ya kuvunjika viuno!
Tanga ama SameHapo lazima ni TZ mikoani huko
Hao ni kunguru sasa sio trafficMpwa kuna wengine ukishuka wami wanapanda juu ya miti wanakupiga picha ukifika msata mizani unakumbana na msala.
Anangoja kutumbua, lakini katumbuliwa yeye kabla.!!!!!!!!!!!!!!Huyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa! View attachment 425532
Sasa walizuia nini hapo kama walipiga picha na bado ajali ikatokea? Ama ilitokea kabla gari haijafika kwa askari mwingine(alietumiwa picha) ili aikamate!Inaonyesha gari na speed unayotembea nayo muda huo, mwenye picha ya lile basi liliopata ajali miezi michache iliyopita anaweza kuiweka hapa. lilikua liko 120km/hr na muda mchache baadae ndio waligongana uso kwa uso na mwenzie
Tanga, hapo sio kuwa ana uzalendo wa kufanya kazi, hapana ni mfuko, njaa yake, wake ! Ukimwambia kuwa akae huko halafu picha zirushwe automatically to central traffic offense analysis centre na mwenye kosa awe debited kwenye mshahara wake unadhani atahatarisha maisha vichakani?Huyu ni Askari wa Usalama Barabarani (sio lazima awe wa Tz) hapo amejificha anatafuta wavunja sheria. Nikajiuliza tu, nyoka akimgonga hapo itakuaje? Hizi sasa sifa! View attachment 425532
Mkuu umeleta wazo jipya kabisa. Hawa watu wanatakiwa mfumo uwe connected hadi makao makuu. Sema tu nchi yetu changa, nchi za watu CCTV Camera itakumulika na mwisho wa mwez unachukua bill yako. Hizo zimefungwa barabara zote, tena hadi zile zinazounganisha Jimbo na jimbo yaani highway, kote kuna CameraTanga, hapo sio kuwa ana uzalendo wa kufanya kazi, hapana ni mfuko, njaa yake, wake ! Ukimwambia kuwa akae huko halafu picha zirushwe automatically to central traffic offense analysis centre na mwenye kosa awe debited kwenye mshahara wake unadhani atahatarisha maisha vichakani?
Nimeiona Japan that system. hela inakatwa kwenye mshahara na maelezo ya kosa.Mkuu umeleta wazo jipya kabisa. Hawa watu wanatakiwa mfumo uwe connected hadi makao makuu. Sema tu nchi yetu changa, nchi za watu CCTV Camera itakumulika na mwisho wa mwez unachukua bill yako. Hizo zimefungwa barabara zote, tena hadi zile zinazounganisha Jimbo na jimbo yaani highway, kote kuna Camera