Inawezekana jamaa ni mzima kabisa ila tatizo ni View attachment 208293
Yaani watu wameshamtafsiri jamaa kuwa hamnazo!!!
Pengine anazo, ila tatizo ni njaa. Kapata kipande cha mkate, sasa kukila bila ya chai au juisi anaona hakitaenda, afanyeje? Weka colgate herbal utapata ladha ya kisamvu. Kisha anameza kwa maji tu baaas siku inaenda.