Huyu tayari huyu !

Huyu tayari huyu !

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,175
Reaction score
829,138
1417780907823.jpg
 
Ndio basi tena mkuu, kesha kuwa mbili kasorobo
 
Inawezekana jamaa ni mzima kabisa ila tatizo ni 1417800559129.jpg
 
mkuu Harufu anauomba hilo boflo mgaie jamaniii maana picha yake inatia hurumaaaa
 
mtu anaponiambia kuwa Tanzania ni mambumbumbu napata shida sana kumuelewa
 
Yaani watu wameshamtafsiri jamaa kuwa hamnazo!!!

Pengine anazo, ila tatizo ni njaa. Kapata kipande cha mkate, sasa kukila bila ya chai au juisi anaona hakitaenda, afanyeje? Weka colgate herbal utapata ladha ya kisamvu. Kisha anameza kwa maji tu baaas siku inaenda.
 
Yaani watu wameshamtafsiri jamaa kuwa hamnazo!!!

Pengine anazo, ila tatizo ni njaa. Kapata kipande cha mkate, sasa kukila bila ya chai au juisi anaona hakitaenda, afanyeje? Weka colgate herbal utapata ladha ya kisamvu. Kisha anameza kwa maji tu baaas siku inaenda.

Wajuzi wapo kila kona
 
Jamaa ndo huyo hapo baada ya kushiba boflo akaamua kuvunja kabati na kutupia vitu vya hatari kama hivyo
 

Attachments

  • 1417809089341.jpg
    1417809089341.jpg
    80.3 KB · Views: 424
Hii tunasema "innah lillah wa innah illah rajiun"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom