Huyu single mother kanin'gan'gania sana

Huyu single mother kanin'gan'gania sana

huna haja ya kumtenda mkuu,hawa huwa wanahitaji kumbatio la maana,na pia ni sehemu salama ya kujishikiza
 
Mi nilichoona kwa hii incidence ni kua anatafuta pa kupumzikia kwa nguvu kwa sababu ya ana mtoto tayari otherwise asingehitaji kunishawishi kiasi hiki angekuta ana mtu tayar na vijana wa siku hizi hua hawapendi single parents.
 
poa kk ngoja nione ninavyoweza kumfanyia bongo movie kaka
ni kweli mkuu,kwanza unakuta tayari anakwake we ukienda unabonyea tu,kikubwa ukiwa unaenda uwe unaenda na vijizawadi vya mtoto wake na ujenge urafiki na mtoto wake hapo utakuwa umemaliza kazi.
 
ni kweli mkuu,kwanza unakuta tayari anakwake we ukienda unabonyea tu,kikubwa ukiwa unaenda uwe unaenda na vijizawadi vya mtoto wake na ujenge urafiki na mtoto wake hapo utakuwa umemaliza kazi.
poa poa kaka. Hua ananiambia njoo nitembelee home sema ndo namzuga bdo ngoja niende week hii kabsaa
 
Wanaume siku hiz wengi tunauwezo mdogo sana wa kufikiri.. vitu vingne kama hiv hata huitaji mtu akushauri.. au sio ndo kukosa kazi, au kitaka sifa.. cjui...
Mr Smart siombi ushaur kiivyo but hapa kuna funzo kwa wadada kua wasipende kua single mums watatumia energy kubwa kupata sehem ya kupumzishia mioyo yao itakayokua accordingly to their preference na hii ni real case study. au ww huoniii? kwa wale watakaopitia watagain something kama wanahitaji kupata ndoa nzuri wanazohitaji na wasiwe under value wasiingie single moms on the contratry wasio na mpango haiwahusu
 
haya sasa kijana fanya hili " akipiga simu tena mwambie kuwa una mpenzi wa kike na hatapenda kuona haya mawasiliano . kwa hiyo ni bora kutowasiliana" halafu swala la mtu kuzaa siyo sababu ya kutompendwa . jitahidi ukue
 
Kuna somewhere nilienda kucheki issue Fulani, fortunately nikakuta kumbe ni sehemu majirani zangu tuliotoka wote kijijin huwa wanakaa so tukasalimiana and so on.

Among them kulikua na one girl ambae she is just younger kwangu but through story from some people nilikuwa najua she got pregnance and is single mum. Unfortunately on our growth nilimuacha mbali she was neither my friend at that time I grew up and nilimtangulia three classes.

Aliponiona ananikumbuka jina kwa tabu tu, nilipoondoka sasa akaomba namba yangu from mtu their ambae alikua nayo. Akapga ooh Mimi fulan ulikuja hapa Jana naomba tuchart tumechat bt naona anakomaa kutaka kuwa close na Mimi Mara simu SAA sita kasoro.

Namvumilia maana hua mi sio mtumiaji wa simu na pia sitak kumjibu kunya mbovu sana mana lazma we shall meet either kwenye shughul or at village and I m never interested on her kabsaaa na as a single mother sina mpango nae kabsaa sasa ananiuliza na upo wapi? unafanya nini? Lini utanitembelea? najaribu kuonesha simtaki on way that sintamuuza bt haelewwi najiulza ana nikaba kwani mi ndo nilimwahisha hukoo au?
Hivi unaposema singo madha... wewe siyo wa singo madha mwenzie..??? Au ulimaanisha singo parentii..???
 
Kuna msemo wa kitoto tulikuwa tunasema ukianguka na baiskeli basi weye tayari umejua sasa tuendelee hivi hivi kuchapia na wengine wanafaidika kwa ukosolewaji lugha inapanda jamani imekuja kwa jahazi sijui ngalawa mambo ya pepo za kusi na kaskazi haya.
 
haya sasa kijana fanya hili " akipiga simu tena mwambie kuwa una mpenzi wa kike na hatapenda kuona haya mawasiliano . kwa hiyo ni bora kutowasiliana" halafu swala la mtu kuzaa siyo sababu ya kutompendwa . jitahidi ukue
sawa Dada yangu nitaacha
 
Back
Top Bottom