Uzuri wa jf hatufahamiani una haki ya kujisifu,sawa GTWapumbavu wawili wanapokutana hutengeneza ujuha wa kujifariji kwakuwa fikra zao ni kimo cha mbilikimo na uono wao ni mwisho wa pua zao zilizofutika uvundo... Kuna kujiita GT na kuwa GT.... Ni dhana mbili tofauti kabisa
Kwa kifupi uchawi haupo acha kucheza na akili za watu mkuu.Ni ngumu kusitisha uchinjaji watu watakosa nyama... Lakini kuna wakati mapupu hutupwa![]()
Kwa kifupi uchawi haupo acha kucheza na akili za watu mkuu.
Mdogo wangu ndege JOHN... Jifunze kwa waliokutangulia nafahamu mapenzi uliyonayo kwa huyu mtu na watu wa upande wake... Siwezi kukulaumu na siwezi kukupangia maisha.... Nafahamu una mada nyingi tu za kusifu huku na kutukana kule.... Ushauri wangu kwako ni huu... Bado una mengi unahitaji kujua hivyo jifunze tafakuriSamahani sana mshana kiukweli Mimi nakosa la kufikiri kila nikiwaza.kila nikimtafutia kosa huyu bashite nalikosa.mimi nadhani tunapaswa tujue ukweli kwamba bashite Ni kijana fulani mwenye madharau Hilo sikatai lakini ana misimamo na uthubutu ambao umekosekana kwa Viongozi wengi.dharau,kejeli,sifa,sio sababu za Kum disqualify
Sijui anafeli wapi kwa upande wenu maana Kama Ni kwa kauli za kukera Mimi siwezi Kum judge mtu kwa maneno ambayo ameyatamka ndani ya nusu saa katika LUNINGA wakati ana masaa mengi nje ya camera ambayo wengi hatuyajui.maisha yake halis pamoja na kazi zake..Sasa at least ningeweza kuona mabaya yake(maovu) ndipo ningeweza kwenda sawa na nyie.samahani mshana hili ndilo niliwazalo.
Ukipata na chapati laini laini
za msukumio kuhifadhiwa kwapani, usaf ziro mna bado watu wanazifakamia
vya bei rahisi vina walaji wengi aiseee
kunadiwa kweke machinjioni nyama linapofika buchani zamani sana lishachemshwa,
kila mtu ana uhuru wakuchagua pande lake he he he he he he
duuu mapupu haya majuzi kati yalikosa soko aisee hadi yakaanza kufosiwa kuuziwa watu














Umejizindika vya kutosha kabla ya kuzungumzia pupu? Ama umeogea kilingeni ndipo ukaja na uzi huu kuhusu mapupu?Uchawi upo... Ushirikina upo... Nguvu za giza zipo... Unaweza ukaamini au usiamini lakini huo ndio uhalisia
Huwezi ukaenda bucha la nyama na kuyakuta mapupu yametundikwa kama nyama nyingine... Sana sana utaona vile vya ndani kama utumbo, maini, bandama nk
Si kwamba mapupu hayapo... La hasha... Si kwamba yana thamani kuliko nyama.. La hasha... Yanapendwa tu na class yake... Nyama iliyonona, nzuri na inayovutia kabisa inaweza kulala lakini sio mapupu...
Mapupu huwezi kuyakuta kila mahali, sehemu zile class, ama middle life class.... Mapupu hayana bei na walaji wake hawana bei pia... Hakuna supu ya mapupu inayozidi buku 3 hata kama itiwe viungo vyote... Hakuna...!!!!
Kuna uchawi kwenye mapupu, kuna ushirikina.. Kuna nguvu za giza.... Huyu rc si mtu bali ni pupu.... Yaani Mapupu ile nyama isiyofika buchani... Ana kaliba yake.... Misukule inayompenda na kumwamini sana... Haisikii... Haiambiliki... Kuhusu hili pupu...!!!!
Kinachonitatiza na kunishangaza sana ni ile dhana dhanifu kuwa hata mzee baba... The man himself ni mlevi na mpendwa kabisa wa supu ya mapupu.... Hii habari inatisha kama hujui undani wake...
Kwa wasiojua ni kwamba.... Ni laini kama supu ya mapupu huyo mwana... Na kilicho laini hutamanisha kuliwa..... View attachment 1095291View attachment 1095292
AhahahahhaNa mimi... tupilia mbali dhana yake..... Yakitayarishwa vizuri hasa kama nyumbani mmechnja mnyama kama mbuzi ni mazuri sana... hasa kwa mtu mwenye hangover. Supu yake nzuri!
Ahahahah.Hapana mkuuumepanda daraja... Sijawahi kuona kiporo cha no 11 au cheni bloku
Dah! Mi naondoka na neno Nguvu za Giza zipo...hayo mengine nawaachia wengine... iri mradi nashushia na Supu ya mapupu.Uchawi upo... Ushirikina upo... Nguvu za giza zipo... Unaweza ukaamini au usiamini lakini huo ndio uhalisia
Huwezi ukaenda bucha la nyama na kuyakuta mapupu yametundikwa kama nyama nyingine... Sana sana utaona vile vya ndani kama utumbo, maini, bandama nk
Si kwamba mapupu hayapo... La hasha... Si kwamba yana thamani kuliko nyama.. La hasha... Yanapendwa tu na class yake... Nyama iliyonona, nzuri na inayovutia kabisa inaweza kulala lakini sio mapupu...
Mapupu huwezi kuyakuta kila mahali, sehemu zile class, ama middle life class.... Mapupu hayana bei na walaji wake hawana bei pia... Hakuna supu ya mapupu inayozidi buku 3 hata kama itiwe viungo vyote... Hakuna...!!!!
Kuna uchawi kwenye mapupu, kuna ushirikina.. Kuna nguvu za giza.... Huyu rc si mtu bali ni pupu.... Yaani Mapupu ile nyama isiyofika buchani... Ana kaliba yake.... Misukule inayompenda na kumwamini sana... Haisikii... Haiambiliki... Kuhusu hili pupu...!!!!
Kinachonitatiza na kunishangaza sana ni ile dhana dhanifu kuwa hata mzee baba... The man himself ni mlevi na mpendwa kabisa wa supu ya mapupu.... Hii habari inatisha kama hujui undani wake...
Kwa wasiojua ni kwamba.... Ni laini kama supu ya mapupu huyo mwana... Na kilicho laini hutamanisha kuliwa..... View attachment 1095291View attachment 1095292








kisirisiri