AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,070
- 3,618
Wengine ukiwaonyesha 'wapishi wa mapupu' wanapanda dau. Wanataka 'pupu' hadi 'papa'Hakuna supu ya mapupu inayozidi buku 3 hata kama itiwe viungo vyote... Hakuna...!!!!
Wengine ukiwaonyesha 'wapishi wa mapupu' wanapanda dau. Wanataka 'pupu' hadi 'papa'Hakuna supu ya mapupu inayozidi buku 3 hata kama itiwe viungo vyote... Hakuna...!!!!
Dah! Mi naondoka na neno Nguvu za Giza zipo...hayo mengine nawaachia wengine... iri mradi nashushia na Supu ya mapupu.
Alivyojitutumua ktk hiyo picha..utadhani kifutu...
Baba Askofu kashindwa kula/kunywa supu ya mapupu....kapigwa na butwaa mpaka mpishi kamuomba msamaha.
Hatari sana
Ngojakisirisiri
Pupu halina radha lkn linapita fresh mdomoni.




Na alierogwa hawezi kujua kama karogwa, hapa ndo tatizo lilipoNatamani kuandika jambo hapa brazaa! Ila niwaambie tu ndugu zangu
Uchawi upo!
Uchawi upo na unafanya kazi, usiyeamini sikulazimishi
Unaipenda sana CCM eeeeeeh!Samahani sana mshana kiukweli Mimi nakosa la kufikiri kila nikiwaza.kila nikimtafutia kosa huyu bashite nalikosa.mimi nadhani tunapaswa tujue ukweli kwamba bashite Ni kijana fulani mwenye madharau Hilo sikatai lakini ana misimamo na uthubutu ambao umekosekana kwa Viongozi wengi.dharau,kejeli,sifa,sio sababu za Kum disqualify
Sijui anafeli wapi kwa upande wenu maana Kama Ni kwa kauli za kukera Mimi siwezi Kum judge mtu kwa maneno ambayo ameyatamka ndani ya nusu saa katika LUNINGA wakati ana masaa mengi nje ya camera ambayo wengi hatuyajui.maisha yake halis pamoja na kazi zake..Sasa at least ningeweza kuona mabaya yake(maovu) ndipo ningeweza kwenda sawa na nyie.samahani mshana hili ndilo niliwazalo.
Mapupu ni nini ?
Lungs. Ulishaona bucha inauza lungs? Utumbo tunaugombania lakini mapupu mara nyingi wanapelekewa mbwa. Ila huchanganya na utumbo kuongeza idadi hasa sehemu wanakouza mataputapu. Joke.Mapupu ni nini ?
Badili ID wanakuletea mapupu sasa hivi. Utayala na mataputapu, shauri yako.
Lungs. Ulishaona bucha inauza lungs? Utumbo tunaugombania lakini mapupu mara nyingi wanapelekewa mbwa. Ila huchanganya na utumbo kuongeza idadi hasa sehemu wanakouza mataputapu. Joke.
Badili ID wanakuletea mapupu sasa hivi. Utayala na mataputapu, shauri yako.














Ila mzee faza anajua vizuri kinachoendeleaNa alierogwa hawezi kujua kama karogwa, hapa ndo tatizo lilipo
ngoja niamke kwanza nirudie kusomaKwa wasiojua ni kwamba.... Ni laini kama supu ya mapupu huyo mwana... Na kilicho laini hutamanisha kuliwa.....
Mshana Jr siyo mapupu bwana site tunaitaga maini, yani mshua akidondoka nayo home, ukiulizwa leo home kuna mboga gani tunajibu maini 😁😁😁Uchawi upo... Ushirikina upo... Nguvu za giza zipo... Unaweza ukaamini au usiamini lakini huo ndio uhalisia
Huwezi ukaenda bucha la nyama na kuyakuta mapupu yametundikwa kama nyama nyingine... Sana sana utaona vile vya ndani kama utumbo, maini, bandama nk
Si kwamba mapupu hayapo... La hasha... Si kwamba yana thamani kuliko nyama.. La hasha... Yanapendwa tu na class yake... Nyama iliyonona, nzuri na inayovutia kabisa inaweza kulala lakini sio mapupu...
Mapupu huwezi kuyakuta kila mahali, sehemu zile class, ama middle life class.... Mapupu hayana bei na walaji wake hawana bei pia... Hakuna supu ya mapupu inayozidi buku 3 hata kama itiwe viungo vyote... Hakuna...!!!!
Kuna uchawi kwenye mapupu, kuna ushirikina.. Kuna nguvu za giza.... Huyu rc si mtu bali ni pupu.... Yaani Mapupu ile nyama isiyofika buchani... Ana kaliba yake.... Misukule inayompenda na kumwamini sana... Haisikii... Haiambiliki... Kuhusu hili pupu...!!!!
Kinachonitatiza na kunishangaza sana ni ile dhana dhanifu kuwa hata mzee baba... The man himself ni mlevi na mpendwa kabisa wa supu ya mapupu.... Hii habari inatisha kama hujui undani wake...
Kwa wasiojua ni kwamba.... Ni laini kama supu ya mapupu huyo mwana... Na kilicho laini hutamanisha kuliwa..... View attachment 1095291View attachment 1095292
Marahaba. Za mishughuliko? Vipi umeshaweka kwenye fridge? Karibu nitapiga hodi.Shikamoo dada