mkuu kupita tu ni ishara mbaya!!mi nasikia ukiwashuhidia wanafanya yale mambo ya kuendeleza kizazi ndo ishara mbaya zaidi!!
wakuu huyu paka atafika anakoenda kweli!!!!
Milele Amina mkuu.ha ha ha ha ha!!umeona eeeh!inabidi tuangushe maombi!
Lazima atakuwa na ugonjwa wa kisasa, hapo anatafuta sababu tu....Anamfuata bosi wake!
View attachment 69049
Lazima atakuwa na ugonjwa wa kisasa, hapo anatafuta sababu tu.