Huyu ni mtu pekee anayefahamu vyema yanayotokea Kibiti na Ikwiriri na huenda akawa na majibu yake

Wanachokifanya wafugaji ambao ni wahamiaji huko kusini ni unyanyasaji na uonevu kwa wenyeji. Hili litaleta shida Leo , kesho na kesho kutwa.

Ni jambo la hatari sana kama mtu anaweza kutembea na mifugo kutoka Mwanza au Arusha na kuhamia nayo ikwiriri au rufiji au morogoro na kuiswagia kwenye shamba la mtu anayemkuta huko. Huu ni zaidi ya uonevu.
True, mie kwa bahati nilipata kutembelea huko nikashuhudia wingu la mifugo likirandaranda na hii ndio tatizo la wanasiasa wetu ambao wamefumbwa macho na wafugaji sijui kwa maslahi yanani! Tunaeza ishi bila kula nyama lakini sio chakula, kibaya zaidi tunashuhudia waziri mwenye dhamana Mh. Mchemba nae akitoa matamshi ya kukatisha tamaa, eti nguvu kwake ndio suluhisho! Toka nilivyomsikia nimegundua kumbe ana uwezo mdogo na hiyo wizara hakustahili. Kingine nilichokigundua askari wengi waliopekekwa kutumika huko na hisi wanatoka nje ya mkoa husika hivyo wameshindwa ku ' integrate' vizuri na wenyeji kwa hali hiyo wanakosa ushirikiano na inavyoonekana hawakubaliki sawa na askari wa bara kumpeleka Pemba unategemea nini! Mimi bado na question uwezo wa polisi wetu kwenye suala zima la taaluma ya 'upelelezi' watu wengi wameteseka bila ya kosa kwa kisingizio cha upelelezi, upelelezi gani unachukua zaidi ya mwaka kama si uonevu? Na kwanini umkamate mtu kama bado hujadhibitisha makosa yake?! Marekani polisi kamwe hamkamati mtu hadi awe na ushahidi kwa asilimia 90% ndio mtuhumiwa atakamatwa na mahakimu hawapati wakati mgumu wa kukaa na kesi kwakuwa polisi wamewarahisishia kazi ya kutoa hukumu kinyume na ilivyo kwa huku kwetu,
 
Mwaka 2012, Huko Ikwiriri wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, aliyekuwa kamanda wa operesheni maalumu wa jeshi la polisi SACP Simon Sirro alitumwa kwenda kuweka mambo sawa.

Sirro akazungumza na wakulima, wafugaji, viongozi na polisi wa ikwiriri, lakini cha ajabu kidogo(kwa viongozi wa Tanzania), Simon Sirro alifanya jambo nadra kulifanya kwa viongozi wa kiafrika.

Akitoa majumuisho ktk mkutano wa hadhara akawatuhumu jeshi la polisi wa Ikwiriri Kuwa ndo chanzo cha mgogoro huo, kwani wamekuwa wakichukua "maziwa" kwa wafugaji na kusababisha kutotenda haki.

Akaendelea kuwalaumu polisi kuwa wanapaswa kutenda haki na "hali hiyo ikiendelea italeta shida na shaka siku za mbele".

Leo ni miaka mitano tumeona utabiri wa Simon Sirro, Mauaji ya polisi, viongozi wa chama dola na serikali wakiwa ni walengwa zaidi.

Hata ukweli upingwe vipi ila kwa sura ya nje Kibiti na Ikwiriri Kuna tatizo kubwa, huenda kuna kundi linalipa kisasi kwa uonevu walioupata mahala.

Kwa sasa ni mtu mmoja tu anaweza kutumia akili, uwezo na busara zake kuweka mambo sawa Kibiti, ni kamanda wa polisi wa mkoa wa DAR ES SALAAM wa sasa ndugu yangu Simon Sirro.

Nina hakika hata jeshi la polisi likiamua kufanya reform na likafanya mapinduzi ya kimuundo na kiutawala ili kujiweka ktk hali ya kukwepa lawama na chuki dhidhi yake kama raia kubambikiwa kesi, kujiingiza ktk siasa, matumizi makubwa ya nguvu, changamoto za ndani ya jeshi nk. huenda huyu bwana akaweza kuwa ni kiongozi wa mabadiliko hayo.
Rubbish. Terror is terror is terror. Kama kuna mtu anawatetea kwa kisingizio hiki au kile naye akamatwe awataje. Kama ni maziwa tungeelewa iwapo wangewaua ng'ombe wa Wasukuma. CCM wapi na wapi? Wanahusikanaje?
 
Wasiwasi nilionao ni wa hawa jamaa kunogewa na kusambaza wanachokifanya mikoa jirani. Jinsi wanavyotumia muda kuwabaini ndio jinsi usugu unapoongezeka. Yani kwa ufupi wametuzidi raia na vyombo vya usalama akili. Yani wako somewhere wanatucheka. Mungu tunusuru.
 
Ikiwezekana wadukue tu mawasiliano ya simu pande hizo...randomly...japo sipendi kabisa hili la kuingilia mawasiliano binafsi
 
nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa wakulima na wafugaji wanaweza kuwa that smart. Wasikamatww matukio yote haya. Hilo ni kundi fulani hadi akamatwe mmoja ateswe ( na si kuuawa on the spot) ndio tutajua nia yao ni nini haswa.
 
Ni wakati muafaka sasa kuzuia ufugaji wa karne ya 9 ya kuswaga mifugo eti wanatafuta malisho 800km
Haya yalishafanyika enzi za Nyerere, alianzisha maeneo makubwa ya kutunzia mifugo, viongozi wamewauzia wakulima, na mengine yametelekezwa, achilia mbali kubadilishiwa matumizi, wakulima wanatangatanga kwa sababu ya upofu wa viongozi
 
Sidhani kama your assertion has even the slightest of truth.Yaani Polisi kuchukuwa maziwa kwa wafugaji bila hulipa ndio
i-generate so much hate mpaka kiasi cha watu kuchukuwa silaha na kuua Polisi na viongozi wa Chama!So you mean wanaofanya haya mauaji ni Wamasai?Maana ndio wafugaji.No, haingii akilini.Kinachoendelea na kilichoko Rufiji ni extreme hate ambayo inaweza tu kuwa generated among other things na imani za kidini.Sina shaka yeyote kwamba kinachoendelea Rufiji ni religious extremism equivalent to that of Nigeria and Somalia.That is the truth,although frightening.The government must extend its muscle now and get rid of this menace before it is too late.Unnecessarily buying time will just make matters worse.
Dini gani wakati most ya wanaouawa ni waislamu? Au wakristu ndio wanatenda hayo?! Hiki ni kitendawili. Labda kuna kundi liko trained na hii ni part ya training hivyo hawana motive yoyote zaidi ya kupata uzoefu.
 
Solution ni kujenga kambi kubwa ya kijeshi huko ikwiriri/kibiti otherwise tutegemee matukio ya mauaji kuwa mengi zaidi....

Yakihamia Kilindi nako kujengwe Kambi kubwa ya Kijeshi, wakihamia Mapango ya Amboni, Tunduru n.k sasa Nchi nzima si itakuwa imejaa Kambi?
 
Mwaka 2012, Huko Ikwiriri wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, aliyekuwa kamanda wa operesheni maalumu wa jeshi la polisi SACP Simon Sirro alitumwa kwenda kuweka mambo sawa.

Sirro akazungumza na wakulima, wafugaji, viongozi na polisi wa ikwiriri, lakini cha ajabu kidogo(kwa viongozi wa Tanzania), Simon Sirro alifanya jambo nadra kulifanya kwa viongozi wa kiafrika.

Akitoa majumuisho ktk mkutano wa hadhara akawatuhumu jeshi la polisi wa Ikwiriri Kuwa ndo chanzo cha mgogoro huo, kwani wamekuwa wakichukua "maziwa" kwa wafugaji na kusababisha kutotenda haki.

Akaendelea kuwalaumu polisi kuwa wanapaswa kutenda haki na "hali hiyo ikiendelea italeta shida na shaka siku za mbele".

Leo ni miaka mitano tumeona utabiri wa Simon Sirro, Mauaji ya polisi, viongozi wa chama dola na serikali wakiwa ni walengwa zaidi.

Hata ukweli upingwe vipi ila kwa sura ya nje Kibiti na Ikwiriri Kuna tatizo kubwa, huenda kuna kundi linalipa kisasi kwa uonevu walioupata mahala.

Kwa sasa ni mtu mmoja tu anaweza kutumia akili, uwezo na busara zake kuweka mambo sawa Kibiti, ni kamanda wa polisi wa mkoa wa DAR ES SALAAM wa sasa ndugu yangu Simon Sirro.

Nina hakika hata jeshi la polisi likiamua kufanya reform na likafanya mapinduzi ya kimuundo na kiutawala ili kujiweka ktk hali ya kukwepa lawama na chuki dhidhi yake kama raia kubambikiwa kesi, kujiingiza ktk siasa, matumizi makubwa ya nguvu, changamoto za ndani ya jeshi nk. huenda huyu bwana akaweza kuwa ni kiongozi wa mabadiliko hayo.

Solution ni kujenga kambi kubwa ya kijeshi huko ikwiriri/kibiti otherwise tutegemee matukio ya mauaji kuwa mengi zaidi....

ni visasi
 
Kambi ya kijeshi ndio itafanya nini?, hao wauaji hawana uniform wako kiraia sasa hao wanajeshi watawatambuaje?
Swala la Kibiti au tuseme Rifiji kwa ujumla wake linahitaji busara na interejensia ya nguvu kuweza kujua shina la yote liko wapi, hao jamaa wanaoneka wako very skilled na wanajua nini wanachokifanya so sidhani kama nguvu ni suluhisho kwa sasa unles umeshajua wako wapi na wamejizatiti vipi ndio nguvu itahitajika,
Anachokishauli huyo jamaa ndio kinachofanyika now na hawatibu zaidi ya kuongeza tatizo kwa sababu now wananchi wanagongwa virungu wana teswa na kunyanyaswa sana huko na polisi bila kuwa na kosa lolote lile.
 
Wasiwasi nilionao ni wa hawa jamaa kunogewa na kusambaza wanachokifanya mikoa jirani. Jinsi wanavyotumia muda kuwabaini ndio jinsi usugu unapoongezeka. Yani kwa ufupi wametuzidi raia na vyombo vya usalama akili. Yani wako somewhere wanatucheka. Mungu tunusuru.
Yamkini kwa hali ilivyo nikuomba mungu atusaidie!
 
Mwaka 2012, Huko Ikwiriri wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, aliyekuwa kamanda wa operesheni maalumu wa jeshi la polisi SACP Simon Sirro alitumwa kwenda kuweka mambo sawa.

Sirro akazungumza na wakulima, wafugaji, viongozi na polisi wa ikwiriri, lakini cha ajabu kidogo(kwa viongozi wa Tanzania), Simon Sirro alifanya jambo nadra kulifanya kwa viongozi wa kiafrika.

Akitoa majumuisho ktk mkutano wa hadhara akawatuhumu jeshi la polisi wa Ikwiriri Kuwa ndo chanzo cha mgogoro huo, kwani wamekuwa wakichukua "maziwa" kwa wafugaji na kusababisha kutotenda haki.

Akaendelea kuwalaumu polisi kuwa wanapaswa kutenda haki na "hali hiyo ikiendelea italeta shida na shaka siku za mbele".

Leo ni miaka mitano tumeona utabiri wa Simon Sirro, Mauaji ya polisi, viongozi wa chama dola na serikali wakiwa ni walengwa zaidi.

Hata ukweli upingwe vipi ila kwa sura ya nje Kibiti na Ikwiriri Kuna tatizo kubwa, huenda kuna kundi linalipa kisasi kwa uonevu walioupata mahala.

Kwa sasa ni mtu mmoja tu anaweza kutumia akili, uwezo na busara zake kuweka mambo sawa Kibiti, ni kamanda wa polisi wa mkoa wa DAR ES SALAAM wa sasa ndugu yangu Simon Sirro.

Nina hakika hata jeshi la polisi likiamua kufanya reform na likafanya mapinduzi ya kimuundo na kiutawala ili kujiweka ktk hali ya kukwepa lawama na chuki dhidhi yake kama raia kubambikiwa kesi, kujiingiza ktk siasa, matumizi makubwa ya nguvu, changamoto za ndani ya jeshi nk. huenda huyu bwana akaweza kuwa ni kiongozi wa mabadiliko hayo.
Usijali Afande Siro atakua IGP
 
K
Solution ni kujenga kambi kubwa ya kijeshi huko ikwiriri/kibiti otherwise tutegemee matukio ya mauaji kuwa mengi zaidi....
Hicho ndicho chanzo(root cause) cha tatizo? Mleta Uzi amengalia chanzo cha tatizo(root cause). Kujenga kambi kubwa ya kijeshi ni kama kumwaga petroli kwenye koroboi linalowaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom