Ug="Lavrov Sergey, post: 21255810, member: 433508"]Ugaidi hauangalii dini. Kule Iraq,Syria,Egypt wanakouana hovyo,wale wote ni muslims. Hvyo yawezekana wewe ndio mpumbavu. Hujui kitu.[/QUOTE]
Pengine kuna aina nyingi za ugaidi kulingana na malengo husika,kule Kenya katika mojawapo ya matukio ya ugaidi Alshababu waliwatenga abiria,waislam walisalimika wasio waislamu wakapigwa risasi!
Pengine kuna aina nyingi za ugaidi kulingana na malengo husika,kule Kenya katika mojawapo ya matukio ya ugaidi Alshababu waliwatenga abiria,waislam walisalimika wasio waislamu wakapigwa risasi!