Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,472
Sio nungunungu huyu ni karunguyeye yeye harushi miba kuna watu wanamtumia kwenye matumizi ya tiba za asili sana hasa kilimo
Soma polepole
Sio nungunungu huyu ni karunguyeye yeye harushi miba kuna watu wanamtumia kwenye matumizi ya tiba za asili sana hasa kilimo
Kwani ulikua unakula mkuu Gentleman? Seriously?Mkuu naacha kuwala rasmi...
Huyu ni hedgehog kwa kijaluo siyo pocupine!Nungu nungu hilo ulilotaja nila kilugha
Heeeeeee🤣🤣Mkuu naacha kuwala rasmi...
Baby si unafahamu namna ya kupika hii mboga??Heeeeeee🤣🤣
Duh 😀 usimsingizie Karucee ni wewe ndiye unakula
Jilungu mifaJe huyu mnyama nyama yake ni kitoweo? , ngozi yake yenye miiba miiba ni tiba na miiba yake ni kinga kubwa sana kwa binadamu vigezo na masharti vikizingatiwa kisawasawa ????View attachment 1799708
Nungu nungu ni mkubwa kimuonekano, kalunguyeye ni mdogo, pia hana miiba milefu Kama nungunung.Nini tofauti ya Karunguyeye na Nungunungu?
Safi sana ngosha!!Jilungu mifa
Jilungu mifa ndumila bhumangaSafi sana ngosha!!