donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
hadi mtoto anapewa sacrament mkuu?Anasali hapo, dini yetu ya rastafari inabariki na kutukuza matumizi ya weed.
Hiyo ni sakramenti maalumu kwetu na haitakiwi kuvutwa hovyohovyo tu
hehe inawezekana mkuu ila misingi ya kuwavutisha watoto sijawahi kuona!Mbona kama nimuumini mwenzio mkuu
kweli kwa mbali mkuu!anafanana na nabii TOSH
hadi mtoto anapewa sacrament mkuu?
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu habadiliki, na mtoto wa mchoma ganja nae atakuwa mchomaji tuBaba anataka mtoto afuate misingi ya baba yake
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu habadiliki, na mtoto wa mchoma ganja nae atakuwa mchomaji tu
mkuu vipi kuhusu kutishiwa kesi inaendeleaje???Anasali hapo, dini yetu ya rastafari inabariki na kutukuza matumizi ya weed.
Hiyo ni sakramenti maalumu kwetu na haitakiwi kuvutwa hovyohovyo tu
canabis sativa...da wisdom weed gwata man...