Huyu Ni Baba Wa Aina Gani....????

Huyu Ni Baba Wa Aina Gani....????

Anasali hapo, dini yetu ya rastafari inabariki na kutukuza matumizi ya weed.

Hiyo ni sakramenti maalumu kwetu na haitakiwi kuvutwa hovyohovyo tu

sakramenti ya mibangi??? Huyo Mungu wenu atakuwa ni teja huyo lol!!!!!!!
 
umleavyo ndivyo akuavyo, nadhani hilo ni GANJA KABISA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom