Locci
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 1,002
- 826
beat zake zoote zinafanana!!ni bingwa wa ku-sample..Mr. T Touch naona anaanza kuishiwa idea za beat, kwenye hii beat ukisikiliza kwa makini kachukua vionjo vya chafu pozi ya Billnass
beat zake zoote zinafanana!!ni bingwa wa ku-sample..Mr. T Touch naona anaanza kuishiwa idea za beat, kwenye hii beat ukisikiliza kwa makini kachukua vionjo vya chafu pozi ya Billnass
Pagamisa ni lugha gani Mkuu..Hosh,.PAGAMISA..Kwala kanjani?kwala chaisana na marubani..Skangaga.Asiyejuwa maana usimwambie maana.
Uko serious kwenye hilo swali au unatania mkuu??Anamaanisha kuwa wimbo ni motoUmemaanisha nini??
Yaani ngoma ikufanyeje?
Au umekosea kuandika?
Una asili ya Mikumi mkuu???Mbunge wangu wa Mikumi huyo hongera zake
MIKUMI STAND UP
yn we mpka leo unakaa unamsikiliza joh makini??Huu ndo mziki.sio matakataka ya kina joh makin

Ngoma ni fire
Sorry Mkuu,Uko serious kwenye hilo swali au unatania mkuu??Anamaanisha kuwa wimbo ni moto
Under normal circumstances ni mchezo mbaya pia,au unasemaje mkuu??Sorry Mkuu,
Hilo neno "Ni Fire" nilidhani ni neno la kiswahili lote
Ndio maana nami sikuelewa, nikauliza mara mbili mbili MkuuUnder normal circumstances ni mchezo mbaya pia,au unasemaje mkuu??
Poa poa mkuu nimekupata,Ndio maana nami sikuelewa, nikauliza mara mbili mbili Mkuu