Hujui hata unaandikaPlz Explain To Me The Contet Of The Song ?
niniUsiyejua Ngumu KunielewaHujui hata unaandika![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nini
Anakwambia "ukisikiliza kwa makini" wanongo wako bussy kutafuta cha kukosoa tu.Aisee inabudi uwe na roho mbaya sana kuona mapungufu ktk ngoma ka hiyoo ..
We jamaa mwanga.
Unajua kwanini watu hawaukosoi wimbo? Kwa sababu Jay kamtaja Tundu LissuAnakwambia "ukisikiliza kwa makini" wanongo wako bussy kutafuta cha kukosoa tu.



Ni kweli ngoma haiwezi kuwa na kasoro kama kwenye mashairi amesifiwa Tundu LissuAisee inabudi uwe na roho mbaya sana kuona mapungufu ktk ngoma ka hiyoo ..
We jamaa mwanga.
Umemaanisha nini??Ngoma ni fire
Ujinga tu...hayo mambo ya kina lissu sijui nini yeye kama mbunge ana sehemu ya kuyaongea ambapo ni bungeni na ingemake sense lakini kuyaimba imba ni kuleta unnecessary confusion....kutokujitambua