don88
Member
- Jan 22, 2013
- 53
- 84
Lejendari mwenye kiota chake ndani ya Tasnia ya Bongo Fleva, Profesa Jay amerudi kivingine. Nimekuwa nikimfuatilia kwa muda mrefu kuanzia kipindi kile cha HBC, kipindi cha Chemsha Bongo, Bongo Dar es Salaam na huu ujio wake wa sasa wa PAGAMISA akiwa na Mr T Touch ameonesha dhahiri kuwa atabaki kuwa mkali kwa miaka yote.
