Jjmwaipopo
Senior Member
- Jan 11, 2020
- 189
- 122
Majitu ya simba kwanini yana matusi sana kwenye post zao
Mbona manara nae anaitangaza Sunderland au kina nugaz wakitangaza ni kosa!Maulid kitenge ni mdau wa sunderland clothing, kwa hiyo kaweka double standard zake, anakula pesa zao kwenye matangazo pamoja na kina antonio nugaz, tatizo la watangazaji wengi wa hapa wanaangalia sana maslahi kuliko ukweli.
Masikini kidoti makelele yooote yale kumbe no rinda?Mbona Swali lako tayari limeshatoa Jibu?
Majibwa ya Yanga mkoje mbona kelele nyingi?Majitu ya simba kwanini yana matusi sana kwenye post zao
Maulid ni "Host", siyo mchambuzi.Wakati Watangazaji wenzake Wanaojitambua, wenye Elimu Kubwa kwa Fani aliyopo na waliomzidi Akili wakipongeza 'Merchandise and Events Deal' ya Kampuni ya VUNJA BEI na Simba SC Mtangazaji wa Wasafi FM Maulid Kitenge (Mwana Yanga SC lia lia) kaja na 'Majungu' yake yale yale...
Huyo host yuko kwa ajili ya habari za Simba tu, mbona ya utopolo hazungumziiMaulid ni "Host", siyo mchambuzi.
Yeye (akisaidiwa na Ahmed, Mwanaidi na Paul Mkai) ni hosts ambao kazi yao ni kuuliza maswali, kuchokoza explanation...
Kwani juzi Nugaz hakuwepo?Huyo host yuko kwa ajili ya habari za Simba tu, mbona ya utopolo hazungumzii
Hujajibu swali juzi tuliona mzozo wa mchezaji wa yanga na kocha wake seidou ntokiziba lakini hatukumsikia akizungumzia kwa undani ala amekuwa akizungumzia habari za Simba kiumbea, kumbuka siku ya mwananchi alimtambulisha Morison kama mchezaji waoKwani juzi Nugaz hakuwepo?
Hujasikia Jerry Muro akibweka siku za karibuni.
We kwani unasikiliza vipindi vyake? Au upo kiubishi zaidi?
Swali limejibiwa vizuri sana.Hujajibu swali juzi tuliona mzozo wa mchezaji wa yanga na kocha wake seidou ntokiziba lakini hatukumsikia akizungumzia kwa undani ala amekuwa akizungumzia habari za Simba kiumbea, kumbuka siku ya mwananchi alimtambulisha Morison kama mchezaji wao
Tabia za kitenge alizonazo inalekea na wewe unazo ndio maana mapovu yanakutokaSwali limejibiwa vizuri sana.
Kitenge ameshaiongelea yanga mara nyingi. Ashazimiwa simu mara nyingi na Bumbuli. Ashamualika Jerry Muro si mara moja kutema cheche. Bakari Jembeulaya, Ali Mayai , Mzee Sunday Manara etc.. wameshatema cheche sana Wasafi FM wakiitwa na kitenge kuhusu Yanga na uozo wao. ndiyo maana nikakuuliza wewe ni msikilizaji?....
Wacha uongo,Kotei hana madai yoyote Simba,wacha kiherehereHuyu mbwabwaji wenu kila siku kujinasibu oooh simba haishindwi kitu saivi mumefungiwa kusajili kwa msimu mmoja kwa kushindwa kulipa 9m za kotei
Haya umesema Wewe ila si Mimi sawa?Masikini kidoti makelele yooote yale kumbe no rinda?
Alipoachana na Wake zake Wawili Mmoja wa Bungeni na Yule mwingine wa UN ( kutokana na tabia zake za Kifirauni akiwa anaenda huko Marekani na Dubai ) ndiyo kaamua sasa Kukuoa Wewe?Maulid ni "Host", siyo mchambuzi.
Yeye (akisaidiwa na Ahmed, Mwanaidi na Paul Mkai) ni hosts ambao kazi yao ni kuuliza maswali, kuchokoza explanation.
Wewe kama mwanasimba ukichukia utakuwa umekosea kwa sababu hayo ni maswali upande wetu huku (Yanga) tunawauliza myie mtaani.
Sasa limepatiwa jibu, na tutatulia na kutafuta sababu nyingine.
Huoni, SSC imerahisishiwa kazi? .... jibu limetolewa?
Nadhani anafanya kazi yake vizuri tu. Unauliza maswali ya kinazi, yanapatiwa majibu tunatulia.
Hivi nani hajui kuwa Nugaz ni Simba SC?Kwani juzi Nugaz hakuwepo?
Hujasikia Jerry Muro akibweka siku za karibuni.
We kwani unasikiliza vipindi vyake? Au upo kiubishi zaidi?
Angalia sasa .....Alipoachana na Wake zake Wawili Mmoja wa Bungeni na Yule mwingine wa UN ( kutokana na tabia zake za Kifirauni akiwa anaenda huko Marekani na Dubai ) ndiyo kaamua sasa Kukuoa Wewe?
Kwa hiyo ....Hivi nani hajui kuwa Nugaz ni Simba SC?