KAJICHO KIVULI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,061
- 546
profesa peter muthariki ashinda kwa kupata asilimia 36.4% ya kura zote akifuatiwa na dr lazarus chakwera mwenye asilimia 28.7% huku raisi wa longiii time dr joyce banda akimaliza na asilimia 20.2%